Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Nani yuko nyuma ya Nape? Mbona ana dharau kiasi hiki?

Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Wewe ni mjinga? Sasa kama ni mjinga kweli ukiambiwa ni mjinga kwanini iwe ni dharau?
 
Wewe ni mjinga? Sasa kama ni mjinga kweli ukiambiwa ni mjinga kwanini iwe ni dharau?
Mtumishi wa Umma anatakiwa watu wote asiwabagaze. Sasa hapo kumwambia mjinga siku nyingine atakuja kwako kupata Huduma? Ama ndio itakuwa mwendelezo wa kubagazana tu.
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Ukitaka kumuelewa mtu fuatilia maisha yake na familia yake. Kazi kwako
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
Kiongozi wa aina gani ??
 
Wachawi ni watu wenye roho mbaya sana ndo maana, kwa kiasikikubwa, maisha yao yanakuwa ya mateso tu siku zote!
Kuna wasiokuwa wachawi, wao wakawa ni majambazi wa kunyang'anya na kutoa roho za watu. Unadhani watu hawa wana maisha ya furaha maishani mwao?
 
Kuna wasiokuwa wachawi, wao wakawa ni majambazi wa kunyang'anya na kutoa roho za watu. Unadhani watu hawa wana maisha ya furaha maishani mwao?
Ila uchawi wa kumsingizia na kumchukia mtu bila sababu huku unayemchukia anazidi kuendewa sawa tu mambo yake ni uchawi unaotesa sana nafsi za wachawi wenyewe!
 
Ila uchawi wa kumsingizia na kumchukia mtu bila sababu huku unayemchukia anazidi kuendewa sawa tu mambo yake ni uchawi unaotesa sana nafsi za wachawi wenyewe!
"Mambo yanamwendea sawa tu", inaonyesha uko dunia nyingine ambako "ujambazi na unyang'anyi" kwenu ni sawa tu.
 
Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.

Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.

1. Hajabarehe? Hajakua?

2. Anahati miliki na hii nchi?

Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.

Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.

Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.

Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?

Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?

Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.

View attachment 2217197
kuna vijana wa viongozi wa taifa hili wastaafu na walioko madarakani wanaamini nchi hii wana hati miliki
"TIME WILL TELL"
 
Back
Top Bottom