Sawa mkuu.Teh teh swali zuri
Ukijibiwa uni tag
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.Teh teh swali zuri
Ukijibiwa uni tag
Ova
Wewe ni mjinga? Sasa kama ni mjinga kweli ukiambiwa ni mjinga kwanini iwe ni dharau?Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Mtumishi wa Umma anatakiwa watu wote asiwabagaze. Sasa hapo kumwambia mjinga siku nyingine atakuja kwako kupata Huduma? Ama ndio itakuwa mwendelezo wa kubagazana tu.Wewe ni mjinga? Sasa kama ni mjinga kweli ukiambiwa ni mjinga kwanini iwe ni dharau?
Ukitaka kumuelewa mtu fuatilia maisha yake na familia yake. Kazi kwakoNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Kwahiyo iweje. Alikuwa ameajiri hivyo ulikuwa ni wajibu wake ili aishi. Hata Komba alitunga tena nyimbo nzuri zaidiMzee Nnauye ndiye alitunga nyimbo za hamasa za Chama enzi za Chama kushika Hatamu.
Brigadia Nnauye aliwajenga kisiasa vijana ndani ya Jeshi wakiwemo Kapteni Makamba, Kikwete na Kinana na hawa wanalipa fadhila ya Brigadia kwa kizazi chake.Kwahiyo iweje. Alikuwa ameajiri hivyo ulikuwa ni wajibu wake ili aishi. Hata Komba alitunga tena nyimbo nzuri zaidi
Kiongozi wa aina gani ??Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Brigadia Nnauye aliwajenga kisiasa vijana ndani ya Jeshi wakiwemo Kapteni Makamba, Kikwete na Kinana na hawa wanalipa fadhila ya Brigadia kwa kizazi chake.
Jumlisha hapo na mwezi wa kwanza, hawa watu hudhani katikati ya watu zaidi ya M60 wao mdio bora kuliko wote, kumbe ni utoto na ujinga mwingi unawasumbua
Kuna wasiokuwa wachawi, wao wakawa ni majambazi wa kunyang'anya na kutoa roho za watu. Unadhani watu hawa wana maisha ya furaha maishani mwao?Wachawi ni watu wenye roho mbaya sana ndo maana, kwa kiasikikubwa, maisha yao yanakuwa ya mateso tu siku zote!
Ila uchawi wa kumsingizia na kumchukia mtu bila sababu huku unayemchukia anazidi kuendewa sawa tu mambo yake ni uchawi unaotesa sana nafsi za wachawi wenyewe!Kuna wasiokuwa wachawi, wao wakawa ni majambazi wa kunyang'anya na kutoa roho za watu. Unadhani watu hawa wana maisha ya furaha maishani mwao?
"Mambo yanamwendea sawa tu", inaonyesha uko dunia nyingine ambako "ujambazi na unyang'anyi" kwenu ni sawa tu.Ila uchawi wa kumsingizia na kumchukia mtu bila sababu huku unayemchukia anazidi kuendewa sawa tu mambo yake ni uchawi unaotesa sana nafsi za wachawi wenyewe!
kuna vijana wa viongozi wa taifa hili wastaafu na walioko madarakani wanaamini nchi hii wana hati milikiNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Nani kakwambia kuwa mimi mwanaccm?Rais wa ccm yenu lakini
Kwa ufisadiNarudia, jk alikuwa kiboko!
🤣🤣🤣kindakindakiNani kakwambia kuwa mimi mwanaccm?
Kama likifanya vizuri shida iko wapi?Henge la akina kinana hilo mzee