Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kwa hiyo Mtoto anakula mafao ya baba sio?!Mzee Nnauye ndiye alitunga nyimbo za hamasa za Chama enzi za Chama kushika Hatamu.
Daah! Kweli hii nchi ina wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Mtoto anakula mafao ya baba sio?!Mzee Nnauye ndiye alitunga nyimbo za hamasa za Chama enzi za Chama kushika Hatamu.
Tatizo hapa sasa si huyo mwenye elimu ya kuungaunga, tatizo hapa ni wewe mwenye ELIMU BOMBA KABISA NA ILIYONYOOKA SWAAAAAFI kujiweka mbali na hatimae tunapatwa na hao wasio na elimu. Njoo bwana msomi utuokoe!!Ndio uwezo wa aliye na mamlaka wa kufanya anachojiaikia ,
Hasa ukizingatia bosi mwenyewe elimu kaunga unga na super glue sasa unategemea atachagua watu wa aina gani?
Na wanazidi kumhakikishia magoli ya mikono 2025
🤣🤣🤣Nape kanyaga hivo hivo hadi CHAKUBANGA AKILI
Wewe roho inakuuma nini? Mbona Musiba mlimwita mwanaharakati huru?Najaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Future za nchi nzima ndio kitu gani?Utamsameheje mtu anaeharibu future za nchi nzima?
Mlizoea naona mnakumbuka ya nyuma.Huyo dawa yake ni kunyooshewa bastola tu, anakuwa mdogo huyo. Eti ooh acha acha usifike huko.
Hajitambui yupo yupo tu wakati yeye ni Waziri na wewe unapuyanga?Huyo nafikiri hayupo sawa kiakili.Kwa kuwa Kikwete aliwahi kusema Mwenezi wetu hauwezi kujua ataongea kitu gani.Analopoka tu.Kwa ufupi hajitambui na hajielewi.Yupo yupo tu.Muda utamhukumu.
ukiangalia kwa karibu viongozi wengi wa sasa waliopewa madaraka elimu ni ya kuunga unga😅Ndio uwezo wa aliye na mamlaka wa kufanya anachojiaikia ,
Hasa ukizingatia bosi mwenyewe elimu kaunga unga na super glue sasa unategemea atachagua watu wa aina gani?
Na wanazidi kumhakikishia magoli ya mikono 2025
Nikajua una point kumbe povu?Wewe roho inakuuma nini? Mbona Musiba mlimwita mwanaharakati huru?
Usitake kupangia watu maisha yao. Acha wivu.
Wewe mwenye elimu kubwa uko nafasi gani?ukiangalia kwa karibu viongozi wengi wa sasa waliopewa madaraka elimu ni ya kuunga unga😅
Bora magoli ya mikono kuliko yale magoli ya 2020Ndio uwezo wa aliye na mamlaka wa kufanya anachojiaikia ,
Hasa ukizingatia bosi mwenyewe elimu kaunga unga na super glue sasa unategemea atachagua watu wa aina gani?
Na wanazidi kumhakikishia magoli ya mikono 2025
Rais wa ccm yenu lakiniJakaya Mrisho Kikwete, yule rais fisadi wa awamu ya nne.
Na sa ingine kutupa mikono wakitoa hotuba"huko' hiyo style inaitwa mtajijua huko"wananchi"Nape, Januari na Mwigulu wana jeuri wanaongea wameweka mikono mfukoni
Anayewapa kiburi Ni marehemu baba zao. Wako pale siyo kwa vile wako smart upstairs,NO, , Bali Ni migongo ya Moses Nnauye baba yake ambaye alikuwa rafiki wa Nyerere eti wao Ni wajamaa. Sasa huyu kijana zero brain anapata tuvyeo hutu kwa ajili ya Baba yake, vinginevyo kichwani hamna kitu kabisa. Sawa na Rizt Kikwete, Ni migongo ya baba zao, vichwani Ni empty setsNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Yes anakuwa backed up na Kinana na Kikwete. Sawa na Riziwani, yule kichwani Ni empty setKinana, msoga
Huo ujumbe una tatizo gani? maana alimjibu mmbea fulani, tatizo lipo wapi hapoNajaribu kufuatilia mijadara mingi sana ya Nape hasa kwenye mitandao.
Binafsi Nashindwa kumuelewa huyu kijana. Najiuliza maswali mengi sana.
1. Hajabarehe? Hajakua?
2. Anahati miliki na hii nchi?
Makuzi na malezi ya huyu kijana yananipa wasiwasi. Hajawahi kuwa na heshima hata siku Moja.
Tangu enzi zile alipokua anamchafua Lowasa, akaja lile sakata la kutaka kumchafua Mwendazake. Akafuatia kauli za kejeri zidi ya Polepole.
Sasa amepewa madaraka amekuwa kama mwehu Fulani. Kila siku kuwabagaza tu wenzie, hataki kukosolewa, anatukana watu hadharani.
Huyu ni waziri Mtumishi wa Umma. Kwa Nini atukane watu?
Mamlaka za uteuzi Huwa hazitoi seminar?
Nilitaka kupendekeza apumuzishwe, ila sizani kama itaeleweka kwa walamba Asali.
View attachment 2217197
Mwigulu anajulikana ni Mshirikina wa kutupwa, hao wengine je au ni wote wana viredio viunoni???Nape, Januari na Mwigulu wana jeuri wanaongea wameweka mikono mfukoni
Mwigulu Nchemba ni mlokole banaMwigulu anajulikana ni Mshirikina wa kutupwa, hao wengine je au ni wote wana viredio viunoni???
moja ya ajabu awamu hii ni Riz1 kuwa waziri wa rasilimali nyeti kama ardhiYes anakuwa backed up na Kinana na Kikwete. Sawa na Riziwani, yule kichwani Ni empty set