Nani yupo nyuma ya mwanaume aliefeli?

Nani yupo nyuma ya mwanaume aliefeli?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Embu tuangalie uhalisia duniani kuna population kubwa ya wanaume masikini zaidi ya wanaume matajiri. Kuna rate kubwa ya wanaume wanaoanguka katika biashara na ajira zaidi ya wanaofanikiwa.

If behind every succesfull man there is a woman, then who is behind a failure man? Himself? He get blame alone right? Not a woman. But the moment a man chooses to go extra miles, drill himself, deprive himself of temporary fun just to focus on his growth, a woman suddenly becomes the one behind his success.

Kila siku mtandaoni na mitaani tunaona wanaume wanakutana na mabalaa kibao. Wengine ni ombaomba, wengine wanaiba wanakamatwa na kuchomwa moto. Hatujawahi kusikia mwanamke akifungamanishwa na hawa wanaume lakini mwanaume akitoboa ndio unasikia "mwanamke kaleta baraka"

Tumpe mwanaume pongezi zake yeye mwenyewe binafsi. Mwanaume ndie anastahili pongezi kwa kazi yake, yeye ndie amefanikisha kila kitu sio mwanamke ambaye angeona hakuna dalili ya mafanikio asingesogea hata karibu.

He did it himself, he made something from nothing. So let us cherish him himself.
 
Nobody, most likely ni kukosa maarifa au uzembe.

Phrase ya "behind every succesfull man there is a woman" ina chimbuko lake linalotokana na patriarchal structures (mifumo dume), na haikutengenezwa kwa lengo la kumpa credit mwanamke ambaye kihistoria hakua na sauti wala haki yoyote kwenye mafanikio ya mwanaume.

Binafsi I prefer "Behind every successful person, there is a person."
 
Mwanaume akianza kuonyesha mafanikio katka maisha yake wanawake wanamuwinda kwa udi na uvumba ili wawe nae. Wanawake wananusa mafanikio kisha wanawahi kujiweka kwa huyo mwanaume, kisha wanaanza kuja na blablabla za bila mimi huyu asingefika hapa

Hakuna mwanamke anayekwenda kwa mwanaume maskini, wanashoboka na mastaa na matajiri halafu baadae wanatembea na biti kua wao ndio chanzo cha mafanikio.
 
Wanaume weusi ni wadhaifu mbele ya wanawake.

Nasema hivi kwakuwa My father alioa akiwa na miaka 32 alikuwa ameajiriwa katika hotel kubwa

By that time

Alikuwa anapata faida kupitia mambo 03
-Kuuza dollars kwakuwa alikuwa anapokea Sana wazungu

-kupata vyakula kwakuwa alikuwa anahusika katika manunuzi

Mshahara haukuwa mkubwa

Kosa alilolifanya ni kuoa mwanamk kutoka familia masikini

Baada ya kumuoa

Akanunua Nyumba
Akanunua Gari
Akanunua mashamba.

Ila hauwezi kuamini mwanamke aliyetoka katika maadili ya dini akawa anakunywa pombe , vurugu .

Pamoja kwamba Mama yangu alikuwa ni first born Ila alipoteza focus ya maisha na kusahau umasikini mkubwa aliouacha nyumbani kwao.

Akafunguliwa duka kubwa Sana la Vipodozi Ila hakawa anamruhusu kila mtu kuuza mwisho likafungwa.

Kufupisha story Mimi mzee wangu father hatumii pombe , wala aina yoyote ya kilevi ni humble guy .

Kwa akili kubwa yenye utulivu aliyonayo mzee wangu Kama angepata smart woman maana yake angekuwa moja wa watu wenye mafanikio makubwa.

Funzo

Mwanamke masikini usimuoe kwa kumuonea huruma .

Hii nimejifunza kwakuwa Mimi mzee wangu anatoka familia bora Ila alienda kuoa katika broke family kitu ambacho kilikuwa sio sahihi .

Ila Leo hii nimeona stigma kubwa anafanyiwa mzee wangu kuwa yeye ajahusika na hayo mafanikio madogo aliyonayo ahaaa kid.


So all in all God is good
 
Embu tuangalie uhalisia duniani kuna population kubwa ya wanaume masikini zaidi ya wanaume matajiri. Kuna rate kubwa ya wanaume wanaoanguka katika biashara na ajira zaidi ya wanaofanikiwa.

If behind every succesfull man there is a woman, then who is behind a failure man? Himself? He get blame alone right? Not a woman. But the moment a man chooses to go extra miles, drill himself, deprive himself of temporary fun just to focus on his growth, a woman suddenly becomes the one behind his success.

Kila siku mtandaoni na mitaani tunaona wanaume wanakutana na mabalaa kibao. Wengine ni ombaomba, wengine wanaiba wanakamatwa na kuchomwa moto. Hatujawahi kusikia mwanamke akifungamanishwa na hawa wanaume lakini mwanaume akitoboa ndio unasikia "mwanamke kaleta baraka"

Tumpe mwanaume pongezi zake yeye mwenyewe binafsi. Mwanaume ndie anastahili pongezi kwa kazi yake, yeye ndie amefanikisha kila kitu sio mwanamke ambaye angeona hakuna dalili ya mafanikio asingesogea hata karibu.

He did it himself, he made something from nothing. So let us cherish him himself.
uoga na uvivu wako binafsi ndio umaskini wako, lakini pia ndicho kinachokufanya uwe hivyo ulivyo sasa,

hakuna kisingizio, badilika na ubadili mienendo yako :pulpTRAVOLTA:
 
Wanaume weusi ni wadhaifu mbele ya wanawake.

Nasema hivi kwakuwa My father alioa akiwa na miaka 32 alikuwa ameajiriwa katika hotel kubwa

By that time

Alikuwa anapata faida kupitia mambo 03
-Kuuza dollars kwakuwa alikuwa anapokea Sana wazungu

-kupata vyakula kwakuwa alikuwa anahusika katika manunuzi

Mshahara haukuwa mkubwa

Kosa alilolifanya ni kuoa mwanamk kutoka familia masikini

Baada ya kumuoa

Akanunua Nyumba
Akanunua Gari
Akanunua mashamba.

Ila hauwezi kuamini mwanamke aliyetoka katika maadili ya dini akawa anakunywa pombe , vurugu .

Pamoja kwamba Mama yangu alikuwa ni first born Ila alipoteza focus ya maisha na kusahau umasikini mkubwa aliouacha nyumbani kwao.

Akafunguliwa duka kubwa Sana la Vipodozi Ila hakawa anamruhusu kila mtu kuuza mwisho likafungwa.

Kufupisha story Mimi mzee wangu father hatumii pombe , wala aina yoyote ya kilevi ni humble guy .

Kwa akili kubwa yenye utulivu aliyonayo mzee wangu Kama angepata smart woman maana yake angekuwa moja wa watu wenye mafanikio makubwa.

Funzo

Mwanamke masikini usimuoe kwa kumuonea huruma .

Hii nimejifunza kwakuwa Mimi mzee wangu anatoka familia bora Ila alienda kuoa katika broke family kitu ambacho kilikuwa sio sahihi .

Ila Leo hii nimeona stigma kubwa anafanyiwa mzee wangu kuwa yeye ajahusika na hayo mafanikio madogo aliyonayo ahaaa kid.


So all in God is good
Ni kweli mkuu ni ngumu sana kumpata masikini makini na mwaminifu. Mwanzoni ataonyesha dalili njema lakni uko mbeleni atarudi kwenye uhalisia.

NI kweli uadilifu unaweza kukusesha fursa ya haraka haraka lakini in long run kuwa mwadilifu itakusaidia sana

Chukulia mfano fundi wa kushona nguo hapo mtaani. Ukimpelekea nguo hata kama ana kazi nyingi ataipokea na kukwambia uifuate baadae kwa sababu ya tamaa ya hela(umasikini). Nguo yako mpaka ije kushonwa utazungushwa sana matokeo ya hii ni nini? In short term kapata hela lakini in long term atakua kapoteza loyal customers wengi sana na kuiaribu brand yake.

Vipi kama angekua muwazi kwa kuchukua kazi za wateja ambao anaweza kuwahudumia kwa muda huo. In short term angeikosa iyo hela ya wateja ambao amewaambia hana muda kini in long run angetengeneza wateja watiifu ambao na wao wangekua mabalozi wake kwa kumtangaza vizuri kitu ambacho kingemtengenezea brand na angepata kazi nyingi zaidi
 
Wanaume weusi ni wadhaifu mbele ya wanawake.

Nasema hivi kwakuwa My father alioa akiwa na miaka 32 alikuwa ameajiriwa katika hotel kubwa

By that time

Alikuwa anapata faida kupitia mambo 03
-Kuuza dollars kwakuwa alikuwa anapokea Sana wazungu

-kupata vyakula kwakuwa alikuwa anahusika katika manunuzi

Mshahara haukuwa mkubwa

Kosa alilolifanya ni kuoa mwanamk kutoka familia masikini

Baada ya kumuoa

Akanunua Nyumba
Akanunua Gari
Akanunua mashamba.

Ila hauwezi kuamini mwanamke aliyetoka katika maadili ya dini akawa anakunywa pombe , vurugu .

Pamoja kwamba Mama yangu alikuwa ni first born Ila alipoteza focus ya maisha na kusahau umasikini mkubwa aliouacha nyumbani kwao.

Akafunguliwa duka kubwa Sana la Vipodozi Ila hakawa anamruhusu kila mtu kuuza mwisho likafungwa.

Kufupisha story Mimi mzee wangu father hatumii pombe , wala aina yoyote ya kilevi ni humble guy .

Kwa akili kubwa yenye utulivu aliyonayo mzee wangu Kama angepata smart woman maana yake angekuwa moja wa watu wenye mafanikio makubwa.

Funzo

Mwanamke masikini usimuoe kwa kumuonea huruma .

Hii nimejifunza kwakuwa Mimi mzee wangu anatoka familia bora Ila alienda kuoa katika broke family kitu ambacho kilikuwa sio sahihi .

Ila Leo hii nimeona stigma kubwa anafanyiwa mzee wangu kuwa yeye ajahusika na hayo mafanikio madogo aliyonayo ahaaa kid.


So all in God is good
Ni kweli mkuu ni ngumu sana kumpata masikini makini na mwaminifu. Mwanzoni ataonyesha dalili njema lakni uko mbeleni atarudi kwenye uhalisia.

NI kweli uadilifu unaweza kukusesha fursa ya haraka haraka lakini in long run kuwa mwadilifu itakusaidia sana

Chukulia mfano fundi wa kushona nguo hapo mtaani. Ukimpelekea nguo hata kama ana kazi nyingi ataipokea na kukwambia uifuate baadae kwa sababu ya tamaa ya hela(umasikini). Nguo yako mpaka ije kushonwa utazungushwa sana matokeo ya hii ni nini? In short term kapata hela lakini in long term atakua loyal customers wengi sana na kuiaribu brand yake.

Vipi kama angekua muwazi kwa kuchukua kazi za wateja ambao anaweza kuwahudumia kwa muda huo. In short term angeikosa iyo hela ya wateja ambao amewaambia hana muda kini in long run angetengeneza wateja watiifu ambao na wao wangekua mabalozi wake kwa kumtangaza vizuri kitu ambacho kingeikuza brand yake na kumpa kazi nyingi zaidi
nachojua kwa akili yangu kubwa nyuma ya mafanikio yoyote ya mwanaume ujue kuna washikaji..na nyuma ya kufeli kwa mwanaume yeyote ujue kuna mwanamke...nina washikaji kibao wamefeli maisha baada ya kuoa
Mara nyingi inakua hivyo nyuma ya mafanikio ya mwanaume ukiondoa juhud, focus na subira kunakua na ndugu zake au washkaji zake. Mwanamke anajipachika baadae sana akiona kuna matumaini mema.
 
Nobody, most likely ni kukosa maarifa au uzembe.

Phrase ya "behind every succesfull man there is a woman" ina chimbuko lake linalotokana na patriarchal structures, na siyo kumpa credit mwanamke ambaye kihistoria hakua na sauti wala haki yoyote kwenye mafanikio ya mwanaume.

Binafsi I prefer "Behind every successful person, there is a person."
Niko single dada alafu nimeajiriwa na mkopo wa nmb unaisha kesho hivyo naanza kupokea mshahara wangu wote.
Je hatuwezi kuoana maana naona una akili kama mimi
 
Back
Top Bottom