Nani yupo nyuma ya project ya kulipa bajaji zilizobandikwa picha za Rais Samia?

Nani yupo nyuma ya project ya kulipa bajaji zilizobandikwa picha za Rais Samia?

KWA MIHEMUKO YAO WAMESAHAU KUWEKA VISIWA INA MAANA MAMA ANATAWALA BARA PEKEE?
 
s
Wakuu
Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni,temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante

View attachment 2226915
sisi chawa. unasemaje?
 
Nani kakwambia wanalipwa? Na hata kama wanalipwa, ukimjua utamfanyaje?
 
Mimi nina picha ya Samia Suluhu nimeibandika kwangu.

Aendelee tu kuwapiga chini Mataga na S Gang.
 
Kaka kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
Kizuri chajiuza kwa kuuwa na kuteka Watu?

Bora kibaya kinachofuata Katiba na Sheria kinachopenda MARIDHIANO kisicho ongea kiswahili cha Nchi jirani kinachomuogopa Mungu Mwenyezi...
 
Kwani akina Cyprian Musiba & Mwita waitara na waunga juhudi za mfalme Zumaridi nani alikuwa akiwapatia pesa
Hahaha kwa moto aliokupelekea huwezi kumsahau ulijambishwa sana we kiroboto
 
Wakuu,

Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni, Temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante

View attachment 2226915
Yaani wewe umefanya UCHUNGUZI WA KUAMINIKA, ukapata picha za BAJAJ, Ukajua kiwango wanacholipwa sasa si UWAULIZE HAOHAO NANI ANAWALIPA ILI ULETE MAJIBU HUMU
 
Watu wana creat vitu wanajua watapiga hela kwenye uchapishajiwa hayo mabango na kuwalipa hao watu wenye bajaji ili mambo yao yaende ila haitawasaidia kila mtu sasa hivi akili mkichwa ukifika kwenye box la kura unajua cha kufanya kumbuka yoteee uliyopitia hasa kipindi hiki kigumu kisha fanya maamuzi
Box la kura si chochote si lolote, box la kura Ni rubber stamp. Tz kushinda uchaguzi na kutangazwa mshindi Ni vitu viwili tofauti, ndio maana mwamba anaomba maridhiano ili angalau apewe majimbo machache. Refer 2020
 
Wakuu,

Kutokana na uchunguzi wa kuaminika kuna Bajaji zilizobandikwa picha za mheshimiwa Mama yetu hapa Dar es salaam maeneo ya ilala, kinondoni, Temeke na maeneo mengine na wahusika wamekuwa wakilipwa KWA mwezi 70000/= KWA kinondoni,30000/= ilala na maeneo kama temeke na kwingineko!je malipo haya nani anayalipa!!?!!?
Lengo ni nini!!?
Asante

View attachment 2226915
Hilo ni shaka!! Tu hayana ukweli
 
Back
Top Bottom