Nani yupo nyuma ya ubunifu na utekelezaji wa mikakati ya CHADEMA?

Nani yupo nyuma ya ubunifu na utekelezaji wa mikakati ya CHADEMA?

Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
Utakufa kwa kihoro.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Jobo kaushuhudia..sasa hivi ni kimya chumbani kwake ...Mzee wa kuwapeleka watu kwa pingu bungeni kujibu tuhuma.

Aisee siku zinakwenda kwa kasi saana.
Naye sasahivi anaona umuhimu wa katiba mpya aamini anachokiona
 
CHADEMA huwa inasaidiwa na watu waliopo serikalini sema huwa hawataki kuonekana, hakuna ambaye anafurahia ukatili wa CCM
Nimefuta comment yangu zaidi ya mara moja. Acha ibakie hivyo.
 
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
Ila CAG kila mwaka anawakagua na anawapa hati safi hizo tuhuma za hela kutafunwa ni utashi wako

Kutokua na ofisi yawezekana sio kipaumbele Chao
 
Uchaguzi huanza wakati wa kuhesabu kura na kukamilika kwa kutangazwa kilichohesabiwa' Kanali Mstaafu Comrade Abdulrahman Omar Kinana Alhabshy
 
Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology. Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.

Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii? Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM? Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
January
 
Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology. Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.

Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii? Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM? Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
ccm nao wataiga very soon...
 
Mm sina uhakika ila kuna jamaa mmoja yupo pale Arusha anaitwa Amani Golugwa(kama nimepatia jina) atakua yupo nyuma ya hii kitu.

Ni mtu mmoja smat sana ila hasikiki sana.
 
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
Povu kiasi hiki kwa ajili ya wivu kwa CDM!?
 
Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology. Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.

Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii? Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM? Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
Ni wananchi wa kawaida na wazalendo. Kumbuka msemo: "Changamoto ni chanzo cha fikra".
 
pamoja na mwenyekit ccm taifa kua huru lakini bado hawaeleweke kumbe mbowe sio kikwazo hakua kikwazo
 
Back
Top Bottom