Nani yupo nyuma ya ubunifu na utekelezaji wa mikakati ya CHADEMA?

Nani yupo nyuma ya ubunifu na utekelezaji wa mikakati ya CHADEMA?

Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology. Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.

Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii? Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM? Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
Chadema iko mbele ya muda miaka 50.
 
Mk
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
Fanya kazi upate hela njaa zitakuua. Haya ni manenk ya mtu mwenye njaa, wivu, kisrani, roho mbaya
 
CCM unibunifu wao uko kwenye wizi wa kura tu, kila uchaguzi wanabuni mbinu za namna ya kuiba maana siasa iliwashinda siku nyingi sana, na katika ubunifu wa wizi wa kura kwa kweli hapa wamefanikiwa hasa ikizingatiwa wahusika wakuu ni vyombo vya usalama.
Ni lini watapewa udaktari wa heshima ili watambulike kimataifa.

Ni lini watakuwa wabunifu wa wizi wa teknolojia ya uchumi
 
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!

Acha kupanick, jitahidi kuvumilia ukweli japo unakuumiza.
 
Ni lini watapewa udaktari wa heshima ili watambulike kimataifa.
Ni lini watakuwa wabunifu wa wizi wa teknolojia ya uchumi
Kwenye hili huwezi kuwasikia. Wachumia tumbo tu wale. Hawana hata uwezo wa kufikia Ukraine kwa uchumi.
 
Chama goigoi na kilichofilisika kisera na kimaono,mara nyingi uwepo wake hutegemea vyombo vya dola vilivyopoteza uadilifu na kusaliti umma na bila kusahau ujinga na woga wa wananchi wengi katika nchi husika.Chama cha namna hii,uchaguzi ni 'pambano' la kufa na kupona bila ya kujali mbinu gani inatumika.

Matokeo yake ni mjengoni kunajaa vilaza wengi na wanaoenenda kama nyumbu na kasuku huku wakipiga mbizi kwenye anasa za maposho yasiyoendana na hali ya nchi katikati ya 'ulofa' mkubwa unaoumiza umma.
 
Utajitahidi sana kulingana na ukweli ili uendelee kuwa msukule mwenye amani.

Vyeo vyote ndani ya chama watapeana Wachagga, mpaka madereva na tender za chama maana si wanna uwezo Kuna ubaya gani[emoji3][emoji3]

Wewe mbuzi daraja la pili kazi yako Ni kupiga kurq, kuandamana, kuwaimbia nyimbo za sifa na kutoa michango tu.
Hapo kwenye Madereva kuwa wachaga umekosea kwani mimi ccm na chadema nawafuatilia sana tukumbuke kila kauli wanayokuja na huwa aituachagi salama ndo maana tunakiofia chadema kuliko vyama vyote.

Tukumbuke ktk vyama vyote chadema ni wajenga hoja wazuri awe kijana au mzee yaani wanaouwezo mkubwa wa kujibu hoja.

Nakuja swala la uchaga na swala lako la ukabila haliwezi kuiondolea chadema uungwaji mkono kwani kama ww unafuatilia siasa kuna kada mmoja wa zamani wa chadema na alikuwa anaitwa Msafiri Mtemelwa alikuwa anakaa Tandika huyu Kada aliwapa Madereva wengi wa Yombo na Tandika kazi ndani ya Chadema na wote sio wachaga na ndio walikuwa ktk ile kauli mbiu ya M4C.

Na huyu alikuja kuhamia ACT kwa hiyo tujenge hoja wanaccm wenzangu sio maneno ya kutengeneza ndio maana tunaoneka bila Polisi hatuwezi siasa hoja hujibiwa kwa hoja
 
Utajitahidi sana kulingana na ukweli ili uendelee kuwa msukule mwenye amani.

Vyeo vyote ndani ya chama watapeana Wachagga, mpaka madereva na tender za chama maana si wanna uwezo Kuna ubaya gani[emoji3][emoji3]

Wewe mbuzi daraja la pili kazi yako Ni kupiga kurq, kuandamana, kuwaimbia nyimbo za sifa na kutoa michango tu.
Vumilia MKUU,UTAPATA MIMBA MUDA SI MREFU...SO PUNGUZA VIHEREHERE
 
Chadema Wana ideas zilizopangika na zinazofanikiwa bila kuhitaji nguvu ya ziada wala dola. Kitendo Cha kutumia mitandao iliyounganishwa na screen za TV zilizopo majumbani kumetoa fursa watu kutambua nguvu ya technology. Ubunifu huu unaendelea kufanya CCM ionekane dhaifu na chama Cha wazee.

Lakini niombe tujue Nani yupo nyuma ya mikakati Hii? Ni watoto wetu waliohitimu Shule na vijana wa CCM? Ni mabeberu au ni wananchi wazalendo?
Muda mrefu tulishauri kuwa Chadema wajenge Ofisi mpaka vijijini ili wapate maeneo yao ya kuweza kuwakusanya wanachama wao na kupata Taarifa kupitia mitandao kama YouTube n.k.

Chadema ina wabunifu mana wanatumia muda mwingi kufikiria.
CCM wanawaza mbinu chafu muda wote. Na waliopo Serikalini wanawaza namna ya kupata kamba ya manati wakati wa kula Kwa urefu wa kamba. Wanashindana kupata manati inayovutika zaidi. Ubunifu wa kimaendeleo hawana.

Big up Chadema Kwa ubunifu. Japo napata wasiwasi kuwa Kuna mtu hua anatumia fedha vibaya ndani ya Chama.
Fedha zikiwafikia wanachama wengi na viongozi wengi basi zitaleta mafanikio makubwa na kuipumzisha CCM.
 
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
He...! Mbona makasiriko.....?
 
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!

Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!

Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?

Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!

Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!

CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!

Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!

Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!

Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!
Wivu wa KIKE utakuua wee mduruma! Beatrice Kamugisha jiweke mbali na hawa mbwa wanakutafuta wakudhuru! Huo ndio ubunifu wao kuteka watu na kucreate kundi la majambazi waliowaita "wasiojulikana". Jiweke mbali na MBWA. Mbwa wenyewe wa CCM wana rabbies!
 
Vumilia MKUU,UTAPATA MIMBA MUDA SI MREFU...SO PUNGUZA VIHEREHERE

IMG_20220219_073845.jpg
 
Back
Top Bottom