Chadema siyo wa kuchezea ina wanachama wengi mno,achilia mbali waliojiandikisha kidijitali, wapo watumishi wengi tu wa serikali. Suala la kuwa na ukata ni la kawaida mno kwa taasisi yeyote mpaka serikali mfu ya CCM imekwama mpaka kukimbilia kuwatesa raia kwa matozo yasiyo na kichwa wakati imejaa raslimali za kila aina,tatizo tuna empty brain. Eti unashangaa Chadema pamoja na madhila yote inayopitia kwenye ukandamizaji wa serikali kwa maelekezo ya ccm,bado mnashangaa bado tupo.
Wewe Beatrice Kamugisha kumbe kuna wakati wewe naye ni mpu.mbavu kiasi hiki!
Sasa hapo kuna ubunifu gani halafu wewe mwenyewe unaongelea kitu husichokijua!
Hivi huu ujinga wenu wa kutaka kuilinganisha CHADEMA na CCM unatoka wapi?
Ubunifu wa CHADEMA labda ni huu wa Ku- print T-shirts za UKUTA, NO CASE TO ANSWER , na maujinga ujinga ya kula Apples bila kunawa!
Kila mtu mwenye akili anaona CHADEMA ilivyopwaya baada ya MBOWE kuwekwa lupango! Kina Rose Mayemba ( Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe) wanalia njaa itawaua wanaCHADEMA msipochanga pesa muwape!
CHADEMA kwa miaka 30 imekula mabilioni ya ruzuku lakini leo hawana hata vyoo achilia ofisi za maana!
Wakati mwingine ukiwa na mapenzi na kitu acha kujitoa ufahamu na kuwa Zombi wewe Beatrice!
Afterall suala la kuunganisha TV yangu na huduma fulani si ubunifu bali ni uhitaji ulipo!
Sasa niambie hao CHADEMA wanaunda TV? ,Je wame create social network au App gani hapo? ambayo wewe unataka kuilingishia CCM?! Ubunifu wao uko wapi hapo?! Kuunganisha TV kwenye umeme nao ni ubunifu! Kilaz.a sana wewe!