Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya unyonge wa Sabaya ukithibitika hasa atastahili "anyongwe". Serikali inajitahidi kumtafutia haki hiyo, wewe tulia.Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Yeye wacha aendelee kumpambania Mbowe baba mkwe wake.Huu uhuni unakuwa engineered na Wakili Kwema na Pccb Kanda Kilimanjaro Ila Siku Sio Nyingi Kweka Kinampata Kitu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hujawai fika Arusha hacha kudanganya Watu!Sabaya ni shetani kama magufuli. Nimeshuhudia ujinga wake sana Arusha.
HACHA ndio nio nini?Hujawai fika Arusha hacha kudanganya Watu!
Wakili aambiwe kwa mantiki gani?Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.
kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.
Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.
Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.
Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.
Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.
Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.
Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?
Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?
Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.
Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.
Time will Tell!
Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.
View attachment 2247466
Haya sema kuwa kalipa na stahiki za Lissu....SSH anajaribu kuwafurahisha chadema ili ajiongezee uungwaji mkono na kukubalika.
Kamwachia gaidi mbowe ili kuwafurahisha na kuwavutia chadema,
Anaendelea kumshikilia Sabaya ili kuwafurahisha chadema,
Orodha ya mambo yanayolenga kuwafurahisha chadema itaongezeka!
Kwa mashtaka aliyohukumiwa Sabaya na kushtakiwa,asahau kabisa kugusa Ofisi za Umma iwe Serikalini au Private.Huwezi kutumia makosa kufuta makosa. Si sahihi kushangilia ukiukwaji wa sheria huku ukihubiri hicho hicho. Uzuri nchi hii siku atakuwa huru na kupewa madaraka! Shetani usimkemee huku unamchekea!
Kama kimya kama hujui chochote. Unampa nani lecture hapa?Kesi iliyotenguliwa na HC sio kwa sababu Sabaya hakutenda yale makosa bali ni technicality za kisheria tuu katika utoaji ushahidi.
Ni ujinga kuona eti hivyo ni kutokutenda kosa
Peleka upumbaf wako huko, unakuja na majibu kwenye mjadala ili yasijadiliwe?Kama kimya kama hujui chochote. Unampa nani lecture hapa?
Sio unachokisikia kutoka kwa dying horse mouth ukiamini. Sabaya sehemu ya kwanza kabisa kuhojiwa ilikuwa Moshi chini ya Takukuru kabla hata hajapelekwa Arusha.Sasa kama Kweka ni DPP mzuri.
Kwa nini amerudia kosa lile lile?
Utampandishaje kizimbani mtu ambaye hujaandika maelezo yake ya awali na bila kumtaka na yeye aandike maelezo yake ya awali?
Halafu unamhamisha mtu ambaye yuko chini ya Custody ya mahakama kibabe kwenda mkoa mwingine tena bila hata Mwanasheria wake kujulishwa?
Kesi inafeli kabla ya kuanza!
Hoja ya kijinga.Hivi kati ya Sabaya na Mbowe nani mshabiki wa Konyagi mpaka ikamtengua mguu?
Na siku zote mfungwa hachagui gerezaSio unachokisikia kutoka kwa dying horse mouth ukiamini. Sabaya sehemu ya kwanza kabisa kuhojiwa ilikuwa Moshi chini ya Takukuru kabla hata hajapelekwa Arusha.
Kuhusu kuhamishwa kupelekwa Moshi hiyo sio hoja, maana mahakama imemnyima dhamana na kuwakabidhi Magereza wamtunze bila kusema gereza gani maana wanachohitaji ni Sabaya aletwe mahakamani siku anayopangiwa.
Gereza likimuhifadhi Kisongo au Karanga watajua wao. Hakuna hoja hapo
Na kila gereza wanapompeleka wafungwa wenzake wanamuona mpya wanamgombea kama mpira wa kona.Wakili aambiwe kwa mantiki gani?
Kama ana hatia ana takiwa kwenda kujibu hatia zake.
Usishangae ukasikia yuko Segerea kwa matendo aliyo tenda Dar. Au Butimba kwa hatia alizo tuhumiwa Mwanza.
Malipo ni hapa hapa.
Sukuma Gang kubalini matokeo tu, mbona ize sana mtapata magonjwa nyemelezi bure kwa chuki zenu za kishamba mlizorithishwa na lile jinamizi la kutoka pori la BurigiYeye wacha aendelee kumpambania Mbowe baba mkwe wake.
Lakini inaweza ika mgharimu muda si mrefu ujao.