Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Haki ya unyonge wa Sabaya ukithibitika hasa atastahili "anyongwe". Serikali inajitahidi kumtafutia haki hiyo, wewe tulia.
 
CCM inaonekana mmezoea kuishi juu ya sheria..mtu akichukuliwa sheria mnatoa milio ya kila aina! Halaf haya mambo ya kumfanya Rais ni Kama mfalme afanye anachotaka hatutaki. Sheria zifuatwe
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Wakili aambiwe kwa mantiki gani?
Kama ana hatia ana takiwa kwenda kujibu hatia zake.
Usishangae ukasikia yuko Segerea kwa matendo aliyo tenda Dar. Au Butimba kwa hatia alizo tuhumiwa Mwanza.
Malipo ni hapa hapa.
 
SSH anajaribu kuwafurahisha chadema ili ajiongezee uungwaji mkono na kukubalika.
Kamwachia gaidi mbowe ili kuwafurahisha na kuwavutia chadema,
Anaendelea kumshikilia Sabaya ili kuwafurahisha chadema,
Orodha ya mambo yanayolenga kuwafurahisha chadema itaongezeka!
Haya sema kuwa kalipa na stahiki za Lissu....
 
Kesi iliyotenguliwa na HC sio kwa sababu Sabaya hakutenda yale makosa bali ni technicality za kisheria tuu katika utoaji ushahidi.
Ni ujinga kuona eti hivyo ni kutokutenda kosa
Kama kimya kama hujui chochote. Unampa nani lecture hapa?
 
Aliyepo mbele ya uhuni wa Sabaya Ni wahuni wenzie waliomzidi uhuni.

Mwache apambane na watoto wa mjini,maana alikuja kishamba mjini kutoka kijijini kwao.
 
Sasa kama Kweka ni DPP mzuri.
Kwa nini amerudia kosa lile lile?

Utampandishaje kizimbani mtu ambaye hujaandika maelezo yake ya awali na bila kumtaka na yeye aandike maelezo yake ya awali?

Halafu unamhamisha mtu ambaye yuko chini ya Custody ya mahakama kibabe kwenda mkoa mwingine tena bila hata Mwanasheria wake kujulishwa?

Kesi inafeli kabla ya kuanza!
Sio unachokisikia kutoka kwa dying horse mouth ukiamini. Sabaya sehemu ya kwanza kabisa kuhojiwa ilikuwa Moshi chini ya Takukuru kabla hata hajapelekwa Arusha.
Kuhusu kuhamishwa kupelekwa Moshi hiyo sio hoja, maana mahakama imemnyima dhamana na kuwakabidhi Magereza wamtunze bila kusema gereza gani maana wanachohitaji ni Sabaya aletwe mahakamani siku anayopangiwa.
Gereza likimuhifadhi Kisongo au Karanga watajua wao. Hakuna hoja hapo
 
Sio unachokisikia kutoka kwa dying horse mouth ukiamini. Sabaya sehemu ya kwanza kabisa kuhojiwa ilikuwa Moshi chini ya Takukuru kabla hata hajapelekwa Arusha.
Kuhusu kuhamishwa kupelekwa Moshi hiyo sio hoja, maana mahakama imemnyima dhamana na kuwakabidhi Magereza wamtunze bila kusema gereza gani maana wanachohitaji ni Sabaya aletwe mahakamani siku anayopangiwa.
Gereza likimuhifadhi Kisongo au Karanga watajua wao. Hakuna hoja hapo
Na siku zote mfungwa hachagui gereza
 
Wakili aambiwe kwa mantiki gani?
Kama ana hatia ana takiwa kwenda kujibu hatia zake.
Usishangae ukasikia yuko Segerea kwa matendo aliyo tenda Dar. Au Butimba kwa hatia alizo tuhumiwa Mwanza.
Malipo ni hapa hapa.
Na kila gereza wanapompeleka wafungwa wenzake wanamuona mpya wanamgombea kama mpira wa kona.
 
Yeye wacha aendelee kumpambania Mbowe baba mkwe wake.
Lakini inaweza ika mgharimu muda si mrefu ujao.
Sukuma Gang kubalini matokeo tu, mbona ize sana mtapata magonjwa nyemelezi bure kwa chuki zenu za kishamba mlizorithishwa na lile jinamizi la kutoka pori la Burigi
 
Back
Top Bottom