Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

Nani yupo nyuma ya Uhuni huu kwa Sabaya?

Sio unachokisikia kutoka kwa dying horse mouth ukiamini. Sabaya sehemu ya kwanza kabisa kuhojiwa ilikuwa Moshi chini ya Takukuru kabla hata hajapelekwa Arusha.
Kuhusu kuhamishwa kupelekwa Moshi hiyo sio hoja, maana mahakama imemnyima dhamana na kuwakabidhi Magereza wamtunze bila kusema gereza gani maana wanachohitaji ni Sabaya aletwe mahakamani siku anayopangiwa.
Gereza likimuhifadhi Kisongo au Karanga watajua wao. Hakuna hoja hapo
Akishinda mnalaumu technicalities.
 
Sabaya anastahili kila kinachomkuta na zaidi.
 
Kama alivokua anafanya yeye ndivo anafanyiwa yeye wilaya moja kwenda mkoa mmoja hakuhojiwa kwanin ww uhoji hilo
 
Katika maisha ya apa duniani kikubwa ni hekima na kuishi kwa kueshimiana.
 
Wakili aambiwe kwa mantiki gani?
Kama ana hatia ana takiwa kwenda kujibu hatia zake.
Usishangae ukasikia yuko Segerea kwa matendo aliyo tenda Dar. Au Butimba kwa hatia alizo tuhumiwa Mwanza.
Malipo ni hapa hapa.
Wewe ni mburula hujui Sheria.
Endelea huko huko Unyumbuni kwenu.
 
Watu wanafurahia mwenzao kuteseka ni mashetani tu.ni mijitu isitambua maana ya upendo. Nchi hatakuwaja kupata kwa hali,ubaguzi unawasumbua,Mh. Mbowe tumemuopembea ameachiwa.Sasa Sabaya ni binadamu nyingi mabaguzi
 
Watu wanafurahia mwenzao kuteseka ni mashetani tu.ni mijitu isitambua maana ya upendo. Nchi hatakuwaja kupata kwa hali,ubaguzi unawasumbua,Mh. Mbowe tumemuopembea ameachiwa.Sasa Sabaya ni binadamu nyingi mabaguzi
Huna akili takataka wewe. Huyo alikuwa na upendo na nani? Mbowe we ndio uliomuombea? Unaharisha mdomoni.
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Mbona yeye alivyokua ana operate mkoa sio wake haikua tatizo?
 
Sidhani kama atapenda issue yake ijulikane. Ila kama anataka haki na anataka iwe mfano kwa wengine anaweza ila ana ujasiri huo?
Hakuna tukio kama hilo.
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Kweka Nina mashaka nae ameamua kumpeleka Moshi akamfunge uko kwao
 
Huwezi kuvuna zabibu wakati ulipanda mbigiri. Mwache sabaya avune matunda ya mti aliopanda
Tena mbigili hazikuziwi,Nyodo za madaraka kupitia mtu mmoja machungu yake
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Kama yeye alivyokuwa anafanya ndio atafanyiwa hivyohivyo ni Imani yangu sheria zinafuatwa
 
Jana tuliambiwa hukumu ya kesi iliahirishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi, Arusha.

kwa kile kilichodaiwa kuwa hakimu alikuwa anatimiza majukumu mengine ya kiofisi,mahali ambapo hatukutajiwa.

Leo asubuhi tunasikia taarifa ya Sabaya kuhamishiwa alfajiri,kutoka Gerezani Kisongo,na kupelekwa Mkoa mwingine kwenda kufunguliwa mashitaka mengine.

Anapelekwa Gereza lingine na Mkoa mwingine bila hata taarifa za Removal Order ya mahakama kutolewa.

Pia mshitakiwa huyu alieko chini ya ulinzi kama Mahabusu,huko Kisongo,anahamishiwa mkoa mwingine bila hata wakili wake kupewa taarifa.

Huyu mtu sio mfungwa kwa sasa bali Mahabusu.
Tena ambaye hukumu yake ni mwezi wa sita huu siku ya tarehe 10.

Halafu amehamishwa kwenda mkoa mwingine,na kusomewa mashitaka ambayo hata hajawaji kuhojiwa au kutakiwa kutoa maelezo yake na vyombo husika hapo awali.

Je!
Anachokihubiri Rais Samia na yale yanayoendelea kwa watendaji wake vinafanana?

Je!
Ni nani yuko nyuma ya hii Project Sabaya?

Katika kesi aliyoachiwa huru tulisikia tuhuma za kaimu DPP Kweka.
Ambaye alihusishwa na Familia ya Mbowe kama mkwe wake.
Akihamishia makazi kwa muda pale Arusha kwa kuisimamia kesi ile.

Sasa tunalazimika kuamini kwamba haya mambo yamerudi na yanashamiri kwa kasi.

Time will Tell!

Mnyonge Mnyongeni Lakini Haki Yake Mpeni.

View attachment 2247466
Hiyo Sabaya Project inahaririwa na Mbowe na genge lake la wahuni, si wako free kwa sasa kufanya lolote maana Serikali ya wapigaji iko madarakani
 
Pia usisahau huyu Sabaya alitoka wilaya ya Hai akaenda kufanya uhalifu mkoa wa Arusha!!

Kwahiyo ni Yale Yale tu
 
Back
Top Bottom