4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu habari,
Sio wote JF wenda wanaguswa na yanayoendelea ndani ya nchi hii (zingatia wapo machawa wa ccm)
Taifa sasa linajaa laana za watu kutwekwa, kuuawa (machozi ya damu).
Nani yupo nyuma ya upumbavu huu? Nani anaratibu kwa faida ya nani?
Kama ni kwa faida ya Taifa nakataa, kama ni kwa faida la genge dogo ndani ya nchi nakubali.
Nini kifanyike sasa, maoni yako ni muhim sana, machawa wa CCM kaa mbali na andiko hili.
Natanguliza pole kwa ndugu na jamaa kwa kipindi ichi kigumu. Tutavuka kwa dam na jasho hakuna atakae ishi milele. Ila hili halivumiliki.
Pia soma:
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Sio wote JF wenda wanaguswa na yanayoendelea ndani ya nchi hii (zingatia wapo machawa wa ccm)
Taifa sasa linajaa laana za watu kutwekwa, kuuawa (machozi ya damu).
Nani yupo nyuma ya upumbavu huu? Nani anaratibu kwa faida ya nani?
Kama ni kwa faida ya Taifa nakataa, kama ni kwa faida la genge dogo ndani ya nchi nakubali.
Nini kifanyike sasa, maoni yako ni muhim sana, machawa wa CCM kaa mbali na andiko hili.
Natanguliza pole kwa ndugu na jamaa kwa kipindi ichi kigumu. Tutavuka kwa dam na jasho hakuna atakae ishi milele. Ila hili halivumiliki.
Pia soma:
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana