Nani yupo nyuma ya utekaji na mauaji haya Tanzania? Kauli moja nini kifanyike?

Nani yupo nyuma ya utekaji na mauaji haya Tanzania? Kauli moja nini kifanyike?

20240908_151114.jpg
 
Magufuli kafufuka upya maana Chadema walimtwisha tuhuma zote Magu kuwa ndiye muuaji no moja,na baada ya kifo walifanya bonge la patty kuwa dharimu wao kaondoka, Sasa hivi watakula kuku kwa mrija,Sasa hivi sijui lawama ni kwanani,nafikiri Makonda hajiandae kwa tuhuma hizo zote, maana Mama yao kipenzi hawezi fanya hayo 🥺🥺
 
Magufuli kafufuka upya maana Chadema walimtwisha tuhuma zote Magu kuwa ndiye muuaji no moja,na baada ya kifo walifanya bonge la patty kuwa dharimu wao kaondoka, Sasa hivi watakula kuku kwa mrija,Sasa hivi sijui lawama ni kwanani,nafikiri Makonda hajiandae kwa tuhuma hizo zote, maana Mama yao kipenzi hawezi fanya hayo 🥺🥺
 
Magufuli kafufuka upya maana Chadema walimtwisha tuhuma zote Magu kuwa ndiye muuaji no moja,na baada ya kifo walifanya bonge la patty kuwa dharimu wao kaondoka, Sasa hivi watakula kuku kwa mrija,Sasa hivi sijui lawama ni kwanani,nafikiri Makonda hajiandae kwa tuhuma hizo zote, maana Mama yao kipenzi hawezi fanya hayo 🥺🥺
Kwani haya yanayofanyika ndio yanamuondoa magu kwenye unyama aliofanya? Au kwakuwa yeye hayupo basi mbegu aliyopanda haiwezi kuota?
 
Sijui Kwanini nimemkumbuka Hamza yule Mtanzania mwenye asili ya usomali na tukio la pale sale da bridge.
Nilitetea sana jeshi la polisi lakini kwa kinachoendele sasa na mfululizo wa matukio ya utekaji, watu kupotezwa, mauaji n.k
Nimejikuta najiuliza maswali ambayo majibu yake nayasubiri na kusikilizia iwapo yatakidhi
Matarajio.
 
Wachafuzi wa dunia na wavunjifu wa amani ni WANASIASA.
 
Tungoje taarifa kutoka kwa watekaji??
Mkuu umeuliza vizuri, machawa yanaona hii ni furaa kwa wananchi kuendelea umizwa.
Wakati wananchi tuko kwenye swali ,tufanye nini.

Napendekeza Serikali ya tz kufikishwa katika mahama ya kimataifa ( ICC) mawakili watuongoze
Rais atoe kauli. Kwenye vitu ambavyo anaviunga mkono huwa yuko kimya kama DP world issue, Loliondo, uuza misitu yetu, na mengine mengi. Obvious anajua utekaji na anaambiwa kila siku na security team. Ameridhia.
Achana na mambo ya rais mkuu ,swali kama sie wananchi nini kifanyike ?
Tufanye nini sie kama wananchi , tunaoumizwa ni sie na familia zetu na ndugu zetu , tufanye nini , Rais akiona ipo haja fanya kama mapendekezo yoko ulivyo yatoa its OK, ataki its OK, sie kama wanananchi ambao tumekua yatima ndani ya taifa letu wenyewe tufaye nini?
 
Watu wenyewe ndio hawa wako bize na simba na yanga nan atamfunga paka kengele
 
Napendekeza Serikali ya tz kufikishwa katika mahama ya kimataifa ( ICC) mawakili watuongoze
Tatizo ICC Wana vigezo vigumu, kwanza lazima yawe ni mauaji ya kutisha sana na kwa maana ya idadi kubwa sana ya watu. Halafu lazima mtu wao ndiyo awe amejiridhisha mauaji hayo kutokea. Kwahiyo sioni ICC kuwa ndiyo suluhisho.
 
Tatizo ICC Wana vigezo vigumu, kwanza lazima yawe ni mauaji ya kutisha sana na kwa maana ya idadi kubwa sana ya watu. Halafu lazima mtu wao ndiyo awe amejiridhisha mauaji hayo kutokea. Kwahiyo sioni ICC kuwa ndiyo suluhisho.
Kwani apa kwetu waliopotea wangapi achana na wale ambao miili yao imeokotwa? Watu wangapi wanatakiwa ili ijulikane kwamba ni mauaji ya kimbari ,3, 10 ,100, 1000 au elfu 10 , japo naheshim hoja yako
 
Mkuu umeuliza vizuri, machawa yanaona hii ni furaa kwa wananchi kuendelea umizwa.
Wakati wananchi tuko kwenye swali ,tufanye nini.

Napendekeza Serikali ya tz kufikishwa katika mahama ya kimataifa ( ICC) mawakili watuongoze

Achana na mambo ya rais mkuu ,swali kama sie wananchi nini kifanyike ?
Tufanye nini sie kama wananchi , tunaoumizwa ni sie na familia zetu na ndugu zetu , tufanye nini , Rais akiona ipo haja fanya kama mapendekezo yoko ulivyo yatoa its OK, ataki its OK, sie kama wanananchi ambao tumekua yatima ndani ya taifa letu wenyewe tufaye nini?
Tuchagueviongozi watakaopigania maslahi yetu, ya nchi. Tupate katiba Mya mfumo mpya.
 
Back
Top Bottom