Nani yupo nyuma ya utekaji na mauaji haya Tanzania? Kauli moja nini kifanyike?

Nani yupo nyuma ya utekaji na mauaji haya Tanzania? Kauli moja nini kifanyike?

Pengine inaweza kuwa ajenda fulani. Turuhusu tuwe na mawazo wazi ili tuweze kuliangalia hili swala kwa jicho pevu. Maswali muhimu ni kama
1. Nani yupo nyuma ya haya?
2. Nani anapata faida endapo matukio haya yataendelea
3. Kwa nini tukio hili la karibuni serikali imepaza sauti? Kuna kitu wanakijua?
4. Matukio haya yakikoma, nani ataathiriw?!
 
Nimesoma Taafa mbali mbali kuhusiana na Tukio la mtu alieshushwa ktk Basi na baada siku kadhaa kukutwa ameuwawa.
Ktk kupitia Taarifa hizi Kuna maswali kadhaa nimejiuliza.

1. Ni kina nani wanamiliki Silaha, na Niki na nani wanatembea na Silaha kwa kujiamini hadharani.

2. Walijitambulisha kua wao ni polisi , Swala linaanzia hapa... Gari nyingi za Polisi huwa hazina Prate Number na Pia Polisi huwa wanatabia ya kuvaa kiraia na Bunduki wanabeba wanaweza Vamia popote wakiwa wamevaa kiraia wanajitambulisha "sisi Polisi"
na wanafanya watakalo.

3. Waliopo mshusha ktk Gari/ Busi je Walitumia Barbara kutoka ktk Eneo la tukio, swali Silaha walikua nazo na walisafiri kwa Barbara na kwa kujiamini, Swali la kujiuliza Raia wa kawaida anaweza kutembea na Silaha hadharani na kwa kujiamini.

4. Kwa maelezo niliosoma ktk vyanzo mbali mbali vya habari, Ili tukio ukilitazama kwa kufikilisha akili limetumia kama Dakika 5 Hadi 10. Kwani inaonyesha huyo mtu alifungwa pingu akiwa ktk Busi, pia hao watu walijitambulisha ktk Basi kua wao ni Polisi...mda wa kujitambulisha na mda wa kumfunga pingu.

5. Ktk Bus kulikua na Abiria wangapi ktk hao Abiria lazima Kuna mmoja wapo ambe alikua anamfuatiria huyo, ambae ndo amenaitajika, Swali la kujiuliza, Kuna mtu wanasema alikata tiketi lakini hakutoa Taarifa zake kwa usahihi

Uchunguzi uanzie kwa huyo mtu, ktk kukata tiketi Kuna mfumo wa kuweka namba ya simu. Pia ktk lile busi huyo mtu alikaa na nani, Kuna mfumo wa kuchora picha ya muarifi kwa kupitia maelezo ya shahidi au mtu alieshuhudia tukio.

6. Kama mtu amekamatwa na Polisi akiwa ktk Busi anasafiri, je Wenye Basi wanatakiwa kutoka msaada Gani kwa Abiria wao, Ili Kujua kama amekamatwa na Polisi kweli au Watekaji( Watu wasiojulikana).

7. Swali la msingi inamaana Watekaji( Watu wasiojulikana ni Smart zaidi ktk kutekeleza matukio yao, kiasi serikali hawana uwezo wa kuwatambua). Kwanini serikali wanashidwa kuwatambua Watekaji/ Watu wasiojulikana.

8. Je mbona hao Watekaji ktk kutekeleza majukumu yao ya utekaji hawajawai kumteka mtu hoe hae( Asie na mbele Wala Nyuma) Kuna kitu kimejificha ktk huu utekaji, Hawa Watekaji wanateka kwa Maslai gani.

9. Masaa 24 kabla ya tukio la utekaji, je doria ya Polisi ilikua wapi, na Mfumo wa uliza na usalama wa maeneo jirani na Eneo la tukio Doria walikua ni kina nani na kina nani walikua wanapokea zamu ya Silaha.

10. Gari ilio tumika ni ya aina gani na imetoka mwaka gani.
Kile kiti alichokalia mtuhumiwa na Marafiki zake kifanyiwe uchunguzi.

Mimi Ni Raia ila nimefikilisha tu "AKILI"
 
Nimesoma Taafa mbali mbali kuhusiana na Tukio la mtu alieshushwa ktk Basi na baada siku kadhaa kukutwa ameuwawa.
Ktk kupitia Taarifa hizi Kuna maswali kadhaa nimejiuliza.

1. Ni kina nani wanamiliki Silaha, na Niki na nani wanatembea na Silaha kwa kujiamini hadharani.

2. Walijitambulisha kua wao ni polisi , Swala linaanzia hapa... Gari nyingi za Polisi huwa hazina Prate Number na Pia Polisi huwa wanatabia ya kuvaa kiraia na Bunduki wanabeba wanaweza Vamia popote wakiwa wamevaa kiraia wanajitambulisha "sisi Polisi"
na wanafanya watakalo.

3. Waliopo mshusha ktk Gari/ Busi je Walitumia Barbara kutoka ktk Eneo la tukio, swali Silaha walikua nazo na walisafiri kwa Barbara na kwa kujiamini, Swali la kujiuliza Raia wa kawaida anaweza kutembea na Silaha hadharani na kwa kujiamini.

4. Kwa maelezo niliosoma ktk vyanzo mbali mbali vya habari, Ili tukio ukilitazama kwa kufikilisha akili limetumia kama Dakika 5 Hadi 10. Kwani inaonyesha huyo mtu alifungwa pingu akiwa ktk Busi, pia hao watu walijitambulisha ktk Basi kua wao ni Polisi...mda wa kujitambulisha na mda wa kumfunga pingu.

5. Ktk Bus kulikua na Abiria wangapi ktk hao Abiria lazima Kuna mmoja wapo ambe alikua anamfuatiria huyo, ambae ndo amenaitajika, Swali la kujiuliza, Kuna mtu wanasema alikata tiketi lakini hakutoa Taarifa zake kwa usahihi

Uchunguzi uanzie kwa huyo mtu, ktk kukata tiketi Kuna mfumo wa kuweka namba ya simu. Pia ktk lile busi huyo mtu alikaa na nani, Kuna mfumo wa kuchora picha ya muarifi kwa kupitia maelezo ya shahidi au mtu alieshuhudia tukio.

6. Kama mtu amekamatwa na Polisi akiwa ktk Busi anasafiri, je Wenye Basi wanatakiwa kutoka msaada Gani kwa Abiria wao, Ili Kujua kama amekamatwa na Polisi kweli au Watekaji( Watu wasiojulikana).

7. Swali la msingi inamaana Watekaji( Watu wasiojulikana ni Smart zaidi ktk kutekeleza matukio yao, kiasi serikali hawana uwezo wa kuwatambua). Kwanini serikali wanashidwa kuwatambua Watekaji/ Watu wasiojulikana.

8. Je mbona hao Watekaji ktk kutekeleza majukumu yao ya utekaji hawajawai kumteka mtu hoe hae( Asie na mbele Wala Nyuma) Kuna kitu kimejificha ktk huu utekaji, Hawa Watekaji wanateka kwa Maslai gani.

9. Masaa 24 kabla ya tukio la utekaji, je doria ya Polisi ilikua wapi, na Mfumo wa uliza na usalama wa maeneo jirani na Eneo la tukio Doria walikua ni kina nani na kina nani walikua wanapokea zamu ya Silaha.

10. Gari ilio tumika ni ya aina gani na imetoka mwaka gani.
Kile kiti alichokalia mtuhumiwa na Marafiki zake kifanyiwe uchunguzi.

Mimi Ni Raia ila nimefikilisha tu "AKILI"
Maswali mazuri sana,majibu Sasa kipengere!
 
Mkuu, hili tukio tunaweza kuuliza kupata mwanga kwakuuliza maswali fikirishi kama uliyouliza.

Binafsi naona inawezekana kuwafahamu wahalifu au kupata mwanga nani wapo nyumba ya mauaji ya mzee Kibao.
1. Ukweli kwamba hao jamaa walijitambulisha kama polisi hilo ni jambo la muhimu. Kuanzia sasa mtu yoyote atayejitambulisha yeye ni polisi basi muhimu adhibitishe uhalali kwa kulinganisha vitambulisho vyao na rekodi halali za polisi. Hii itasaidia kutambua nyaraka za kughushi.

2. Njia na Muda.

Hapa inatakiwa ichunguzwe ikiwa hao wahalifu walitumia njia tofauti kuondoka eneo la tukio. Hii itasaidia kufahamu kwanza uwezo wa mipango wa hawa jamaa lakini pia muda waliotumia kumaliza tukio lao na kuondoka.

3. Abiria na tiketi za basi.

Nimeona hapo wanasema jamaa mmoja hakujaza taarifa sahihi. Ni sawa, hatahivyo, kwenye uchunguzi ni muhimu kupata taarifa hizi kwasababy lazima kutakuwa na taarifa labda namba ya simu yakuanza nayo lakini pia utaweza wapata abiria waliokaa karibu naye pengine wanaweza kuwa na kitu chakusaidia kutambua watekaji.

4. Serikali na watekaji.

Ichunguzwe kwa nini huu utekaji haukugundulika mara moja na polisi lakini pia kwanini haukufuatiliwa haraka na polisi. Wachunguzi waangalie mbinu za watekaji na malengo yao. Hii inaweza onyesha uzembe, hujuma au kuhusika moja kwa moja kwa mifumo ya usalama.

5. Patrol za polisi na magari.

Ichunguzwe rekodi zote za patrol za polisi, magari na maafisa usalama kabla na karibu na tukio la utekaji.

Hii itasaidia kupunguza idadi ya watu wanaoshukiwa kwenye huu utekaji.
 
Back
Top Bottom