Nani zaidi kati ya Aziz Ki na Chama?

Tuwe na heshima japo kidogo. Mimi ni mwananchi lakini siwezi kumfananisha Chama na vitu vya kijinga.

Aziz Ki acheze angalau misimu mitatu akiwa katika kiwango Cha juu ndo tuibue huu mjadala tena.

Kwa hapa kwetu Chama ni class nyingineee kabisa.
 
Unalinganisha vipi? Kwa msimu huu au kwa msimu iliyopita? Kama kwa msimu huu basi tusubiri ndio kwanza ligi imeanza.

Ila kama kwa msimu uliopita basi Aziz K alipata tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya Ivory coast na pia kwenye mashindano ya kombe la shirikisho CAF ana magoli manne kazidiwa magoli matatu na top scorer
 
Yaani Chama anayecheza taratibu kama konokono ukamfananishe na mchezaji aliye twaa tuzo ya mchezaji Bora kwenye ligi ya Ivory coast!! Kwa hakika Tanzania Kuna vituko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yaani Chama anayecheza taratibu kama konokono ukamfananishe na mchezaji aliye twaa tuzo ya mchezaji Bora kwenye ligi ya Ivory coast!! Kwa hakika Tanzania Kuna vituko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani Chama hajawahi kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Ligi?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…