Nani zaidi kati ya Aziz Ki na Chama?

Nani zaidi kati ya Aziz Ki na Chama?

Hakuna mchezaji au kiongozi yoyote wa Simba asiyejua K Aziz ni nani, Barbara alipiga magoti na kulia apate Saini yake ikashindikana.
Manula aligomea mchezo na Yanga kisa Azizz K.
Duuuuh! Huyu alikuja bongo akala za kutosha na manula alikuwepo golini ndio aje mkimbia leo?
 
Mlianza chama vs daktari wa mpira
Sasa hvi mmeamia kwenye chama vs mdomo wazi ila hakuna hata mmoja anayemfikia triple c
 
chama ana assist mbili na goli moja..... vip azizi ana nin had sasa.....
 
Unawashindanisha kwa angle gani ? NBC premier League tu au kiujumla ,?

Nb: nenda ivory coast pia ukawaulize mashabiki wa uko chama na aziz ki nani zaidi afu ndio turudi mezani
Ukienda huko nako watakuambia nenda kawalinganishe wakiwa kwenye ligi moja.

This is a NBC league issue
 
Unalinganisha vipi? Kwa msimu huu au kwa msimu iliyopita? Kama kwa msimu huu basi tusubiri ndio kwanza ligi imeanza. Ila kama kwa msimu uliopita basi Aziz K alipata tuzo ya mchezaji bora wa ligi ya Ivory coast na pia kwenye mashindano ya kombe la shirikisho CAF ana magoli manne kazidiwa magoli matatu na top scorer
Chama kachua tuzo ligi yetu na wala Sio mbali....
Mara mbili mfululizo ya tatu wakamdhulumu.
 
Hakuna mchezaji au kiongozi yoyote wa Simba asiyejua K Aziz ni nani, Barbara alipiga magoti na kulia apate Saini yake ikashindikana.
Manula aligomea mchezo na Yanga kisa Azizz K.
Lete mzunguuuuuuu
 
Tupo Tanzania ambapo tunawaona wote wawili, Ivory Coast hawajawahi kumuona Chama
Yaani tufanye ulinganifu kwa hizi mechi tatu, Ngao na mechi mbili za ligi?

Manake Aziz K tumemuona kuanzia kwenye ngao hapa Tz.
 
Yaani Azizi Kii mwenye uwezo wa kucheza mpira hata kwa dakika 200, analinganishwa na mchezaji anayecheza kwa wastani wa dakika 50-60 hivi, halafu anatolewa nje!

Azizi Kii anakinukisha kwenye mechi zote! Ziwe za derby, ziwe za Kimataifa, ziwe za timu ndogo, nk. Yule mwingine kwenye mechi ya derby utamuonea huruma kwa namna anavyowekwa kifuani na dogo Fei Toto!

Aziz Kii ana uwezo wa kukinukisha viwanja vyote! Viwe vya nyasi bandia, vya Mikoani, Benjamin Mkapa, nk! Yule mwingine ukimtoa nje ya dimba la Mkapa, hakika utamuonea huruma.

All in in all, Aziz Kii ni mutu ya kazi! Kuanzia physic, pace, nk. Imagine ana miezi miwili tu kwenye ligi, lakini analinganishwa na mtu mwenye miaka kibao!
 
Back
Top Bottom