Nani zaidi kati ya Aziz Ki na Chama?

Nani zaidi kati ya Aziz Ki na Chama?

Acheni jamani Triple ni kitu ingine japo kwa spid Azizi Ufunguo yuko Vyedi

Mpira sio spidi tu!!ni akili na maarifa kama una spidi na huna akili unakuwa kama moloko tu kukimbia bila mpangilio..CHAMA NDIO DAKTARI WA SOKA HAPA NCHINI
 
Hakuna mchezaji au kiongozi yoyote wa Simba asiyejua K Aziz ni nani, Barbara alipiga magoti na kulia apate Saini yake ikashindikana.

Manula aligomea mchezo na Yanga kisa Azizz K.

Jamaa unaongea takataka sana yaani...hv una familia mkuu??
 
Ki ilikuwa makosa kusaini yanga,ilitakiwa awe belgium,france league 2 n.k.

Kwa kuangalia kipaji na mjengeko wa mwili anafaa sana.

Didier drogba nilimuona mara ya kwanza akiwa ligi ya ufaransa miaka mingi nilipomuona mara ya kwanza niliwaambia watu wa karibu huyuni mchezaji mzuri sana sijui kwanini yupo france enzi hizo hajulikani kabisa,badae akaja chelsea,wale watu wakaniambia dah,ulisemaga aisee....

Ki nimemuona mara ya kwanza game na simba.
Nikajisemea wakala wake ni mpumbavu sana,ilibidi ampeleke ulaya hata timu za daraja la nne,na uhakika angefika hata zile national league.
 
Wakuuu hebu naomba Chama apewe heshima yake.....
Yaani kitakwimu Aziz Ki haingii hata robo kwa Chama yaani ni kama kumlinganisha Ibramovich na Pele[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2334150
Screenshot_20220824-113817_Chrome.jpg
 
Yaani Azizi Kii mwenye uwezo wa kucheza mpira hata kwa dakika 200, analinganishwa na mchezaji anayecheza kwa wastani wa dakika 50-60 hivi, halafu anatolewa nje!

Azizi Kii anakinukisha kwenye mechi zote! Ziwe za derby, ziwe za Kimataifa, ziwe za timu ndogo, nk. Yule mwingine kwenye mechi ya derby utamuonea huruma kwa namna anavyowekwa kifuani na dogo Fei Toto!

Aziz Kii ana uwezo wa kukinukisha viwanja vyote! Viwe vya nyasi bandia, vya Mikoani, Benjamin Mkapa, nk! Yule mwingine ukimtoa nje ya dimba la Mkapa, hakika utamuonea huruma.

All in in all, Aziz Kii ni mutu ya kazi! Kuanzia physic, pace, nk. Imagine ana miezi miwili tu kwenye ligi, lakini analinganishwa na mtu mwenye miaka kibao!
Mwandiko mzuri afu pumba
 
sakho alikuja bongo akiwa amekuwa MVP wa ligiya senegal, kwa taarifa yako ivory coast siyo ligik ubwa afrika,usichanganye ma fail ya mafanikio ya teams za taifa na ligi ya ndani, senegal, ghana, ivory coast, mali ,burkina faso ligi zao za kawaida sana...ndiyo maana simba kaibeba ligi ya bongo ina teams 4 afrika wao hawana
Sio sakho2 hata sadio kanoute aLikua MVP paLe maLii
 
CHAMA ni overrated player, sioni cha ajabu kwake, Binafsi bila upendeleo kama mimi ni kocha na nina namba 10 hao wawili, basi nitampanga AZIZ KI afu bench CHAMA.

AZIZ KI anakuoffer vitu vingi kuliko CHAMA, timu ikizidiwa kidogo hata kukaba ni ngumu kwake.

Ujinga mkubwa sana kulinganisha kipaji cha Mpira kama Aziz Ki na yule Chama.
Chama ameprove kufeli kwenye mifumo ya kiuchezaji alipokwenda Berkane na hakupata namba.
Ushabikii maandazi umetumia Ku fan ya. Comparison
 
kwani Nani asiyejua kuwa Aziz alipotoka alikuwa mchezaji Bora,ukiniuliza nitakupa jibu tripple C kwa sababu nimemuona kwa misimu mingi hapa KWETU hivyo najua ubora wake na uwezo wake ILA,ILA huyu Aziz ki Ana vitu vingi uwanjani kwa kuongea ushuhuda wa match ya derby iliyopita ambayo iliwakutanisha Hawa jamaa nadhani tunajua Nani aliisaidia timu yake kuibuka na ushindi...Acha tuone league iishe halfu tuje hapa Tena ikiwa wote wamo ndani ya league moja..
Mbinu za makocha2 nd iLiamua mech chama aLishine first haLf second half aziza ka shine
 
Kwan Aziz Ki angekua mchezaji mzuri, mbna huki berkane hakutakiwa? Yaan hataa kuuliziwa nehiiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenzake Karim kaenda uLaya ye kaja uswahiLin
 
Mpira sio spidi tu!!ni akili na maarifa kama una spidi na huna akili unakuwa kama moloko tu kukimbia bila mpangilio..CHAMA NDIO DAKTARI WA SOKA HAPA NCHINI
Mfano mzuri ni rodri pale man city akiLiii mingiii
 
Jamaa unaongea takataka sana yaani...hv una familia mkuu??
Na ana waToto tatizo tunaendekeza ushabiki kwenye ukweli tuseme ukwelii tupeni data zao wote tuone digits never lie kwenye football career zao
 
Back
Top Bottom