This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Kwani mpaka Sasa namba zinasemaje, kuanzia ngao ya jamii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aziz ki huyu anaechezea timu underdog ambayo huishia hatua ya awali CAF CL kila mwaka na timu ya 140 kwa ubora wa vilabu Afrika ? Au kuna azizi ki mwingine?Chama huyu huyu aliyeshindwa mpira wa kasi kule umangani?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wewe ni Miongoni mwa wasio na akiliMnashindanisha mvp wa ligi ya ivory coast na mvp wa makolo!kitu kinawafanya mumlinganishe azizi ki mwenye match 3 tu za kimashindano hapa Tanzania na chama mwenye miaka zaidi ya 3!kama si ubora aliouonyesha kwa match hizi 3
Ona huyu Utopolo asiye na akiliYaani Chama anayecheza taratibu kama konokono ukamfananishe na mchezaji aliye twaa tuzo ya mchezaji Bora kwenye ligi ya Ivory coast!! Kwa hakika Tanzania Kuna vituko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huyo mwenye dk 20 ana goal moja na asist mbili kweny ligue..haya tulete takwimu za huyo mweny dk 200Yaani Azizi Kii mwenye uwezo wa kucheza mpira hata kwa dakika 200, analinganishwa na mchezaji anayecheza kwa wastani wa dakika 50-60 hivi, halafu anatolewa nje!
Azizi Kii anakinukisha kwenye mechi zote! Ziwe za derby, ziwe za Kimataifa, ziwe za timu ndogo, nk. Yule mwingine kwenye mechi ya derby utamuonea huruma kwa namna anavyowekwa kifuani na dogo Fei Toto!
Aziz Kii ana uwezo wa kukinukisha viwanja vyote! Viwe vya nyasi bandia, vya Mikoani, Benjamin Mkapa, nk! Yule mwingine ukimtoa nje ya dimba la Mkapa, hakika utamuonea huruma.
All in in all, Aziz Kii ni mutu ya kazi! Kuanzia physic, pace, nk. Imagine ana miezi miwili tu kwenye ligi, lakini analinganishwa na mtu mwenye miaka kibao!
Hizo mechi zote ana assist ngapi na magoli mangapi?Yaani Azizi Kii mwenye uwezo wa kucheza mpira hata kwa dakika 200, analinganishwa na mchezaji anayecheza kwa wastani wa dakika 50-60 hivi, halafu anatolewa nje!
Azizi Kii anakinukisha kwenye mechi zote! Ziwe za derby, ziwe za Kimataifa, ziwe za timu ndogo, nk. Yule mwingine kwenye mechi ya derby utamuonea huruma kwa namna anavyowekwa kifuani na dogo Fei Toto!
Aziz Kii ana uwezo wa kukinukisha viwanja vyote! Viwe vya nyasi bandia, vya Mikoani, Benjamin Mkapa, nk! Yule mwingine ukimtoa nje ya dimba la Mkapa, hakika utamuonea huruma.
All in in all, Aziz Kii ni mutu ya kazi! Kuanzia physic, pace, nk. Imagine ana miezi miwili tu kwenye ligi, lakini analinganishwa na mtu mwenye miaka kibao!
Wewe punguani,ligi ya ivory coast unaifananisha na hii yetu,utakua mshamba wewe sio bure,ile ligi watu wanasajiliwa ulaya moja kwa moja,hivi unajua pacha wa aziz ki pale asec amesajiliwa wapi?Wewe ni Miongoni mwa wasio na akili
Sasa Ligi ya Ivory Coast nayo Ligi? Si sawa na Zanzibar au Burundi tuu? Hivi wajua hadhi ya NBC PL? Utopolo mkubwa wewe
Aziz ki mchezaji bora ligi kubwa ya ivory coast msimu ulioisha.Aziz ki huyu anaechezea timu underdog ambayo huishia hatua ya awali CAF CL kila mwaka na timu ya 140 kwa ubora wa vilabu Afrika ? Au kuna azizi ki mwingine?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Huyo mwenye dk 20 ana goal moja na asist mbili kweny ligue..haya tulete takwimu za huyo mweny dk 200
Haya maswali mtajibiwa mwishoni mwa msimu.Hizo mechi zote ana assist ngapi na magoli mangapi?
Vv
Mambo hubadilika mdogo angu..acha ushehe yahya kweny mpiraHaya maswali mtajibiwa mwishoni mwa msimu.
Sawa.Mambo hubadilika mdogo angu..acha ushehe yahya kweny mpira
Kila kitu naona unafanya kubashir tu...yawezkana ku bet kumekuadhiriSawa.
Ila mimi ni babu yako bila shaka.
chama mchezaji wa mechi za ndondo ukimpa mechi kubwa anageuza kibwengoTuwe na heshima japo kidogo. Mimi ni mwananchi lakini siwezi kumfananisha Chama na vitu vya kijinga.
Aziz Ki acheze angalau misimu mitatu akiwa katika kiwango Cha juu ndo tuibue huu mjadala tena.
Kwa hapa kwetu Chama ni class nyingineee kabisa.
unanikumbusha wakat ligi ina anza mayele alikuwa anafananishwa na rasta kibu d kisa vigoli viwili kilicho mkuta sasa hadi leo hamu aminichama ana assist mbili na goli moja..... vip azizi ana nin had sasa.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeeh sana.Haya maswali mtajibiwa mwishoni mwa msimu.
sakho alikuja bongo akiwa amekuwa MVP wa ligiya senegal, kwa taarifa yako ivory coast siyo ligik ubwa afrika,usichanganye ma fail ya mafanikio ya teams za taifa na ligi ya ndani, senegal, ghana, ivory coast, mali ,burkina faso ligi zao za kawaida sana...ndiyo maana simba kaibeba ligi ya bongo ina teams 4 afrika wao hawanaAziz ki mchezaji bora ligi kubwa ya ivory coast msimu ulioisha.
Hapa tunazungumzia ubora wa aziz ki na chama wala sio vilabu
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app