Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
gari yangu unarekebesha na nakufunga dekiMadereva wana akili , wakionaga mashina kama hizo huwa hawakulupuki wanajua mziki wake 😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gari yangu unarekebesha na nakufunga dekiMadereva wana akili , wakionaga mashina kama hizo huwa hawakulupuki wanajua mziki wake 😃😃
Land Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?Salamu sana ziwafikie wapendwa wana JF
Naomba kujuzwa japo kwa undani Kati ya haya magari mawili na sifa zake TOYOTA LAND CRUISER vs NISSAN PATROL
aksante.
mm mwenye nimeshidwa kushangaaaLand Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?
Land Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?
Bima si ipo?ukinigusa tu road wahi police mwenyewe maana utauza yako kurekebesha mzigo
wakala wako wa bima anakuuliza kwahio umegonga nissan amarda kwa kutumia Carina TI?Bima si ipo?
Gari zingine unakaa nazo mbali kidogowakala wako wa bima anakuuliza kwahio umegonga nissan amarda kwa kutumia Carina TI?
Yani ugonge gari yangu then unaniuriza mm bima Nissan amarda 😅😅 (carina) ownerBima si ipo?
dunia hii tutafute pesa tu yani mpaka wakala wako atakurukaa maana wanaweza funga office kwa mudaa 😅😅😅wakala wako wa bima anakuuliza kwahio umegonga nissan amarda kwa kutumia Carina TI?
Namwambia kwani nilipolipa ulifafanua nigonge magari ya aina gani?wakala wako wa bima anakuuliza kwahio umegonga nissan amarda kwa kutumia Carina TI?
Kuna canter iligonga Ford Ranger mpya kabisa.Bima si ipo?
Bima ya Carina ndo itengeneze hiyo Armada.Yani ugonge gari yangu then unaniuriza mm bima Nissan amarda [emoji28][emoji28] (carina) owner
Hizo kampuni za bima zinakusanya hela nyingi sana.dunia hii tutafute pesa tu yani mpaka wakala wako atakurukaa maana wanaweza funga office kwa mudaa [emoji28][emoji28][emoji28]
azisha na ww kampuni ya Bima tutaku'saportHizo kampuni za bima zinakusanya hela nyingi sana.
Kuna kampuni tena ndogo kwa mwaka wanapata faida almost 500M.
Yani ugonge gari yangu then unaniuriza mm bima Nissan amarda [emoji28][emoji28] (carina) owner
dunia hii tutafute pesa tu yani mpaka wakala wako atakurukaa maana wanaweza funga office kwa mudaa [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bima ya Carina ndo itengeneze hiyo Armada.
Hahahaha daaaaah! Kwahiyo mkuu wewe huwa unaona cruiser ni gari ya maana sana kiasi kwamba haiwezi kulinganishwa na Nissan patrol?Land Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?
Nissan Patrol haikamati Toyota Land cruiser (experience mkuu).Hahahaha daaaaah! Kwahiyo mkuu wewe huwa unaona cruiser ni gari ya maana sana kiasi kwamba haiwezi kulinganishwa na Nissan patrol?
Hapo umeshindanisha injini zipi?Nissan Patrol haikamati Toyota Land cruiser (experience mkuu).