Nani zaidi kati ya Toyota land cruiser vs Nissan patrol

Nani zaidi kati ya Toyota land cruiser vs Nissan patrol

Land Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?
Hiyo Land cruiser ina nini cha ajabu...[emoji28][emoji28]?...ina uke au uume..? .[emoji28][emoji28]
Basi tu ni gari lililotokea kukubalika na taasisi za serikali......Gari kukubalika bongo haina maana kuwa ndiyo gari bora zaidi ya mengine..

Fuatilia reviews za watu wa Australia na Jangwa la uarabuni utaona hizo Patrol zinavyokubalika..
 
Nissan Patrol haikamati Toyota Land cruiser (experience mkuu).
Don't be too generic....sometimes be specific..
Kuna LC zinaizidi Patrol na kuna Patrol zinazozidi LC.....hapo inategemea hizo gari zote ni za mwaka gani na zina injini gani.....[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hiyo Land cruiser ina nini cha ajabu...[emoji28][emoji28]?...ina uke au uume..? .[emoji28][emoji28]
Basi tu ni gari lililotokea kukubalika na taasisi za serikali......Gari kukubalika bongo haina maana kuwa ndiyo gari bora zaidi ya mengine..

Fuatilia reviews za watu wa Australia na Jangwa la uarabuni utaona hizo Patrol zinavyokubalika..
Kwani huku kwetu kuna jangwa?

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo Land cruiser ina nini cha ajabu...[emoji28][emoji28]?...ina uke au uume..? .[emoji28][emoji28]
Basi tu ni gari lililotokea kukubalika na taasisi za serikali......Gari kukubalika bongo haina maana kuwa ndiyo gari bora zaidi ya mengine..

Fuatilia reviews za watu wa Australia na Jangwa la uarabuni utaona hizo Patrol zinavyokubalika..
Toa maoni yako mkuu.

Mimi maoni yangu Toyota Land cruiser ipo. Mambo ya kuwa uke ama uume umeyatoa wapi? Maturity came late?
 
Don't be too generic....sometimes be specific..
Kuna LC zinaizidi Patrol na kuna Patrol zinazozidi LC.....hapo inategemea hizo gari zote ni za mwaka gani na zina injini gani.....[emoji38][emoji38][emoji38]
Shida ni nini?

Maoni yangu Land cruiser ipo juu kuliko Nissan Patrol based on My experience.

Wewe maoni yako ni nini? Simpo!
 
Toa maoni yako mkuu.

Mimi maoni yangu Toyota Land cruiser ipo. Mambo ya kuwa uke ama uume umeyatoa wapi? Maturity came late?
Maoni ni kwamba LC inachoizidi Patrol kwa hapa Bongo ni upatikanaji wa vipuri na ukitaka kuliuza litauzika haraka...nothing more..
Na unapofananisha gari ili kuwa na fair comparison, chukua gari za mwaka mmoja...

Siyo mtu anazungumzia LC ya mwaka 2019 anaifananisha na Patrol Y60....hapo kuna usawa kweli..?
 
Maoni ni kwamba LC inachoizidi Patrol kwa hapa Bongo ni upatikanaji wa vipuri na ukitaka kuliuza litauzika haraka...nothing more..
Na unapofananisha gari ili kuwa na fair comparison, chukua gari za mwaka mmoja...

Siyo mtu anazungumzia LC ya mwaka 2019 anaifananisha na Patrol Y60....hapo kuna usawa kweli..?

Ndio nimesema, Wewe pia tiririka maoni yako. Jisikie huru kufunguka. Sidhani kuna mchangiaji humu JF amekuzuia kufanya comparative analysis ya kiwango chako. Hivyo funguka, jiachie uwe na Amani.

Mimi mistari miwili ama mitatu inatosha sana.
 
Nissan Patrol naikubali sana
Screenshot_20201225-100600_Chrome.jpg
 
Ndio nimesema, Wewe pia tiririka maoni yako. Jisikie huru kufunguka. Sidhani kuna mchangiaji humu JF amekuzuia kufanya comparative analysis ya kiwango chako. Hivyo funguka, jiachie uwe na Amani.

Mimi mistari miwili ama mitatu inatosha sana.
Merry Christmas and happy new year,Sir..[emoji512][emoji483][emoji477]️[emoji478][emoji898][emoji898]

Hoja yangu ya msingi, unalinganisha Lc ipi na Patrol ipi..? Hapo mbona hutoi jibu.....
 
Sasa mkuu gari linalofanya vizuri kwenye mvhanga wa Jangwani, litashindwa hizi barabara zetu za uchumi wa kati..?[emoji38][emoji38][emoji38]
Tuwe basi serious kidogo kwenye mada ambazo ni serious..[emoji28]
Ndio maana huku kwetu ziko kwa idadi hiyo iliyopo , zingekua zina better performance lazima tu zingekua nyingi

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Maoni ni kwamba LC inachoizidi Patrol kwa hapa Bongo ni upatikanaji wa vipuri na ukitaka kuliuza litauzika haraka...nothing more..
Na unapofananisha gari ili kuwa na fair comparison, chukua gari za mwaka mmoja...

Siyo mtu anazungumzia LC ya mwaka 2019 anaifananisha na Patrol Y60....hapo kuna usawa kweli..?
Mfano patrol y60 na LC 80 series ipi matata zaidi?!
 
zote ni gari nzuri ila kwa upatikanaji wa spare za land cruiser ni simple coz zipo nyingii wakati nisan spare zinasumbua kwa kiasi flani ila ni gari ngumu zote kwa matumizi ya porini na nyumbani pp
Hapana land cruiser nadhani sio swala la vipuri tuu hizo gari ni ngumu mno Nissan ni moja ya gari ngumu pia ila Toyota hao kwa matoleo mengi ni balaa sizungumzii kilimo Kwanza hili kwangu sio gari gumu na engine yake pia nyanya sana
 
Ndio maana huku kwetu ziko kwa idadi hiyo iliyopo , zingekua zina better performance lazima tu zingekua nyingi

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu ila kuwa chache haina maana kwamba performance yake ni ndogo.......
Ukweli ni kwamba brand ya Toyota imetokea kupendwa zaidi Tanzania kuliko hizo Nissan...
Na sisi watu tuna mentality kwamba serikali ikinunua kitu, basi hcho kitu ni bora kuliko vyote...

kwa mfano sasa hivi kuna magari flani ya China ni SuV yanatumika sana na polisi.....kesho kutwa tu usishangae watu wakisema hayo magari ni bora kuliko LC kisa tu serikali inayamiliki...

Mwisho tukubali tu kuwa ukuzungumzia 4X4 za maana kutoka Japan, huwezi kukwepa LC na Patrol.
 
Sawa mkuu ila kuwa chache haina maana kwamba performance yake ni ndogo.......
Ukweli ni kwamba brand ya Toyota imetokea kupendwa zaidi Tanzania kuliko hizo Nissan...
Na sisi watu tuna mentality kwamba serikali ikinunua kitu, basi hcho kitu ni bora kuliko vyote...

kwa mfano sasa hivi kuna magari flani ya China ni SuV yanatumika sana na polisi.....kesho kutwa tu usishangae watu wakisema hayo magari ni bora kuliko LC kisa tu serikali inayamiliki...

Mwisho tukubali tu kuwa ukuzungumzia 4X4 za maana kutoka Japan, huwezi kukwepa LC na Patrol.
Hujawah toka nje ya dar nn? Manake mfano wako unatolea serikal tu, ingia arusha, singida , tabora mwanza , shinyanga , geita katav uone Land cruiser zilivyojaa za watu binafsi , kampun na mashirika binafsi , kigezo ni performance na sii vinginevyo

Mfano ulio Hai , imekuaje Howo wakaweza penetrate kwenye soko lililo tawalia na mswiden na mjeruman?? Kaleta kitu kina performance nzuri, watu hawakuangalia upatikanaj wa spear , ni performance mzee baba

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Hujawah toka nje ya dar nn? Manake mfano wako unatolea serikal tu, ingia arusha, singida , tabora mwanza , shinyanga , geita katav uone Land cruiser zilivyojaa za watu binafsi , kampun na mashirika binafsi , kigezo ni performance na sii vinginevyo

Mfano ulio Hai , imekuaje Howo wakaweza penetrate kwenye soko lililo tawalia na mswiden na mjeruman?? Kaleta kitu kina performance nzuri, watu hawakuangalia upatikanaj wa spear , ni performance mzee baba

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Unfortunately, sikai Dar...[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom