East Wind
JF-Expert Member
- Jun 17, 2020
- 2,783
- 6,058
Tusipangine namna ya kujenga nchi mkuu.. kila mtu ana style yake ya kujenga nchiMbwembwe zote tunamjadili mjapani.Tafuteni namna tujenge inchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusipangine namna ya kujenga nchi mkuu.. kila mtu ana style yake ya kujenga nchiMbwembwe zote tunamjadili mjapani.Tafuteni namna tujenge inchi
Tulishawapa dhamana wajenga nchi...Mbwembwe zote tunamjadili mjapani.Tafuteni namna tujenge inchi
Mkuu t blj njoo uone Scania 4*2 mayai mayai imekwama sehemu ya kizembe.
Land Cruiser inafanya kazi ngumu na inaweza isiunguze Clutch Plate.
Teh tehe kila mtu ni meneja wa familia yakeTusipangine namna ya kujenga nchi mkuu.. kila mtu ana style yake ya kujenga nchi
Gari ya Mstaafu J.KIsee nissan ni kitu kingine kabisa kuna hii engine nissan patrol nismoView attachment 537400View attachment 537401
Dunia nzima inatambua udhaifu huo wa scania [emoji1][emoji1][emoji1]Mkuu t blj njoo uone Scania 4*2 mayai mayai imekwama sehemu ya kizembe.
Sababu mmekaririshwa kuwa gar nzur na za kifahari ni land cluiser. Sasa fatilia. Wastaafu wote wa urais na wazir mkuu hapa Tz wanapewa nissan patrol value zaid ya 400m. Dude kubwa kama nyumbaLand Cruiser imekuwa ni ya kulinganishwa na Nissan Patrol,kweli?
'toyota range cruiser'.kuna jamaa anayo hiyo toyota range cruiser mzee,ni balaa,nissan patrol haioni ndani wakuu
Labda ingekua rahisi zaidi ukisema ni tech ipo kwny patrol na kwny LC haipo mkuu.Fundi mmoja hapaa anasema durability ya Nissan Toyota wakasome, issue inakuja kwenye upatikanaji wa spea, kwamba wauzaji sio wengi ila tofauti na hapo kama mtu utapenda gari lenye Latest Tech basi Nisaan itakua chaguo
aha kampuni mpya kweli'toyota range cruiser'.
Hii itakua ni gari mpya sokoni mkuu?
Au bima ya Armada(comprehensive cover) itatengeneza hio Armada! Sijui wabongo wanakwama wapi wakigongana wanakimbilia kupigana ngumi ,mara kulipana.Bima ya Carina ndo itengeneze hiyo Armada.
Mkuu mbona Una maswali magumu?!Labda ingekua rahisi zaidi ukisema ni tech ipo kwny patrol na kwny LC haipo mkuu.
Merry Christmas Mkuu,
Nissan Patrol Y60 Kwanza sifa kuu iliyonayo ni stability iwapo kwenye barabara ya vumbi au lami kutokana na upana wake na ground clearance ya kawaida ukilinganisha na Land Cruiser series 80. Nissan bei ya vipuri ipo juu na zinataka matunzo zaidi.
Land Cruiser series 80, zinafahamika Kwa kuhimili njia mbovu na wepesi wake wa kufanyiwa service, vipuri kupatikana kirahisi kutokana na Toyota kuwa na sehemu nyingi za Ku assembly magari yake na dealership wa spare zake wapo maeneo mengi.Pia reliability ya hizi gari ni kubwa hata ikifanya kazi ngumu mfululizo.
Kiufupi kuna vitu Nissan Patrol anavyo na Land Cruiser Hana na kila mmoja kuwa na sifa yake ya kipekee.
Kila mmoja kwenye hizo gari alikuwa na injini Bora, Nissan ana Td42,Tb45,T48 na L/Cruiser ana 1HZ na 1Hdt.
Wanaita chura. Iwe mvua ama jua safari ipo. One of the best off road iconGARI YA KAZI HAIJAWAHI KUNIANGUSHA POPOTE PALE SAA YEYOTE. INA MWAKA WA 28 SASA NA ENGINE HAIJAWAHI KUFUNGULIWA. KUBADILISHA FILTER TU NA OIL NA KUWEKA WESE
Chukua Nissan Patrol ya 2018 na Landcruiser V8 ya 2018 tukazitie kwenye maji kama hivyo halafu uone shughuli yake 😂😂😂 kama hujawamaliza mafundi wa OBD scanner mjini na Nissan Patrol yako!Fundi mmoja hapaa anasema durability ya Nissan Toyota wakasome, issue inakuja kwenye upatikanaji wa spea, kwamba wauzaji sio wengi ila tofauti na hapo kama mtu utapenda gari lenye Latest Tech basi Nisaan itakua chaguo