Nani zaidi kati ya Toyota land cruiser vs Nissan patrol

Nani zaidi kati ya Toyota land cruiser vs Nissan patrol

kuna jamaa anayo hiyo toyota range cruiser mzee,ni balaa,nissan patrol haioni ndani wakuu
 
Fundi mmoja hapaa anasema durability ya Nissan Toyota wakasome, issue inakuja kwenye upatikanaji wa spea, kwamba wauzaji sio wengi ila tofauti na hapo kama mtu utapenda gari lenye Latest Tech basi Nisaan itakua chaguo
 
Bima ya Carina ndo itengeneze hiyo Armada.
Au bima ya Armada(comprehensive cover) itatengeneza hio Armada! Sijui wabongo wanakwama wapi wakigongana wanakimbilia kupigana ngumi ,mara kulipana.
Ukigonga gari ukiona damage kubwa(kama una comprehensive cover hata uwe na Vitz) mwambie tusubiri traffic police apime,nenda mahakamani (na unaweza usiende) bima watalipa.
 
Merry Christmas Mkuu,
Nissan Patrol Y60 Kwanza sifa kuu iliyonayo ni stability iwapo kwenye barabara ya vumbi au lami kutokana na upana wake na ground clearance ya kawaida ukilinganisha na Land Cruiser series 80. Nissan bei ya vipuri ipo juu na zinataka matunzo zaidi.

Land Cruiser series 80, zinafahamika Kwa kuhimili njia mbovu na wepesi wake wa kufanyiwa service, vipuri kupatikana kirahisi kutokana na Toyota kuwa na sehemu nyingi za Ku assembly magari yake na dealership wa spare zake wapo maeneo mengi.Pia reliability ya hizi gari ni kubwa hata ikifanya kazi ngumu mfululizo.

Kiufupi kuna vitu Nissan Patrol anavyo na Land Cruiser Hana na kila mmoja kuwa na sifa yake ya kipekee.
Kila mmoja kwenye hizo gari alikuwa na injini Bora, Nissan ana Td42,Tb45,T48 na L/Cruiser ana 1HZ na 1Hdt.

IMG_E8406.jpg


IMG_E4023.jpg


IMG_E4027.jpg


IMG_E4260.jpg
 
Fundi mmoja hapaa anasema durability ya Nissan Toyota wakasome, issue inakuja kwenye upatikanaji wa spea, kwamba wauzaji sio wengi ila tofauti na hapo kama mtu utapenda gari lenye Latest Tech basi Nisaan itakua chaguo
Chukua Nissan Patrol ya 2018 na Landcruiser V8 ya 2018 tukazitie kwenye maji kama hivyo halafu uone shughuli yake 😂😂😂 kama hujawamaliza mafundi wa OBD scanner mjini na Nissan Patrol yako!
 
Back
Top Bottom