NANI ZAIDI? Ngoma Nzito Kwa Mashabiki Yanga

NANI ZAIDI? Ngoma Nzito Kwa Mashabiki Yanga

kinje ketile

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2015
Posts
5,089
Reaction score
9,664
Yanga Tuna Tatizo?

Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.

Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!

Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
 
Jamaa hamasa yao huwa ndogo daima, ukilinganisha na Simba. Hii ni proof kuwa Simba huenda ina mashabiki wengi Tanzania kuliko timu yoyote.

Pia inaonyesha kiwango cha upendo wa mashabiki kwa timu yao, ni kikubwa sana
 
Mkuu acha roho mbaya tuchukue makombe yote adi na nani zaid ya jf?

Tuwaachie huo mchezo wakitoto wajifariji.
 
Subiri Yanga watangazwe Ubingwa hapo J5 utona mzigo utakavyopanda ghafla kwa shangwe la Ubingwa.
 
Tukubali tu mashabiki wa yanga ni wachache sana kuliko wa Simba.

Hata huku mtaani yanga ikifanya vibaya huwaoni kabisa sehemu za kuagalia mechi ila Simba wao utawakuta mechi zote wapo.Na hata kwa idadi ni mara 2 ya mashabiki wa yanga
 
Sisi sio wabinafsi...hilo kombe chukueni tu....sisi tuko bize na costal union kwanza
 
Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
 
Yanga Tuna Tatizo?

Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.

Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!

Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Tulishawagundua kitambo .... MAKOLO

Mwamedi kila siku anaweka 100k.....kwa kiswahili tunasema anajitekenya then anacheka mwnywe[emoji23][emoji23]
 
Yanga Tuna Tatizo?

Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.

Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!

Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Subiri kama siku 2 hivi utaona jinsi yanga watakavyopindua meza
 
Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Jerry Mlo ndo yupi huyo? Ukisikia timu ya wananchi hiyo ndo tafsiri yake umesahau na watoto yatima
 
Michezo ya kitoto isikusumbue akili yako
Michezo ya kitoto mlianzaje kushiriki?

Nyie si mnajiita timu ya wananchi, nguvu yenu iko wapi sasa mbona kapu halina kitu mpaka muda huu?

Mi nilitegemea nyinyi mngekuwa kinara maradufu, kwanza mna experience ya kuchangia (kile kipindi cha kutembeza bakuli)

Pili nyinyi ndio club ambayo mnajinadi kuwa na mashabiki wengi siku zote na kuwa hata uwanjani huwa mnaongoza nyie kujaa

Kwa hiyo niamini kauli ya eze kumwaga kuwa mechi ambazo mnadaiwa kujaza asilimia kubwa waudhuriaji ni mashabiki wa simba?

Hai make sense timu ambayo inajitangaza kuwa na mashabiki wengi iwe nyuma kwa michango, iwe nyuma kwa followers za social media

Huo ukubwa wenu mi nauona kwenye mdomo wa manara ila kwa uhalisia tumewaacha mbi sana
 
Michezo ya kitoto mlianzaje kushiriki?

Nyie si mnajiita timu ya wananchi, nguvu yenu iko wapi sasa mbona kapu halina kitu mpaka muda huu?

Mi nilitegemea nyinyi mngekuwa kinara maradufu, kwanza mna experience ya kuchangia (kile kipindi cha kutembeza bakuli)

Pili nyinyi ndio club ambayo mnajinadi kuwa na mashabiki wengi siku zote na kuwa hata uwanjani huwa mnaongoza nyie kujaa

Kwa hiyo niamini kauli ya eze kumwaga kuwa mechi ambazo mnadaiwa kujaza asilimia kubwa waudhuriaji ni mashabiki wa simba?

Hai make sense timu ambayo inajitangaza kuwa na mashabiki wengi iwe nyuma kwa michango, iwe nyuma kwa followers za social media

Huo ukubwa wenu mi nauona kwenye mdomo wa manara ila kwa uhalisia tumewaacha mbi sana
Aya sawa.....nashukuru kwa riwaya yako
 
Back
Top Bottom