NANI ZAIDI? Ngoma Nzito Kwa Mashabiki Yanga

NANI ZAIDI? Ngoma Nzito Kwa Mashabiki Yanga

Yanga Tuna Tatizo?

Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.

Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!

Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Manara aliwaeleza Yanga hawana shida ya pesa kujenga uwanja pesa ipo mingi hivyo wameamua kulipia uachama(wamepata billion) sasa vi michezo vya nani zaidi vya kazi gani????
 
Ndio kilichobaki kwa Simba kuendelea kujipa faraja kupitia...... Nani zaidi?
 
Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Mmebadilisha kocha msisahau kubadili na waganga.
 
Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Haya Izo Hela Mkanunue Kombe Sasa [emoji23]
 
Michezo ya kitoto mlianzaje kushiriki?

Nyie si mnajiita timu ya wananchi, nguvu yenu iko wapi sasa mbona kapu halina kitu mpaka muda huu?

Mi nilitegemea nyinyi mngekuwa kinara maradufu, kwanza mna experience ya kuchangia (kile kipindi cha kutembeza bakuli)

Pili nyinyi ndio club ambayo mnajinadi kuwa na mashabiki wengi siku zote na kuwa hata uwanjani huwa mnaongoza nyie kujaa

Kwa hiyo niamini kauli ya eze kumwaga kuwa mechi ambazo mnadaiwa kujaza asilimia kubwa waudhuriaji ni mashabiki wa simba?

Hai make sense timu ambayo inajitangaza kuwa na mashabiki wengi iwe nyuma kwa michango, iwe nyuma kwa followers za social media

Huo ukubwa wenu mi nauona kwenye mdomo wa manara ila kwa uhalisia tumewaacha mbi sana
Sehemu zote washabiki wa Simba wanajitokeza kwa wingi kupita wa timu nyingine.
Kwenye social media Simba wanaongoza kwa mbali sana ikishindana na Al-Ahally ya Misri.
Hili la michango pia limejidhihirisha na karibu wachangiaji kuwa mara tatu ya wale wa Yanga.
Hapa kwa logic ya kawaida Simba ni wengi kupita Yanga.

Simba ni Lidude Likubwa Sana.
 
Yanga ipo vijijinu huku kwa sana hata mtandao hamna ila Simba mpaka Kenya unaikuta

Watu wavivu ndo huwa wanashabikia yanga
 
Yanga wengi huwa wanaenda pale kwa mkapa lkn wanaishia nje.... Wakisikia kelele ndani ya Uwanja nao ndo wanashangilia bila kujua nani Kafungwa.. ! Buku ya Kupigia kura waipate wapi.. ?
 
Yanga Tuna Tatizo?

Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.

Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!

Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Kwani Yanga nanyi mna mashabiki?.
 
Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Dah!!!, Umeua.
 
Tunasubiri mfikishe mil 200 sisi haoo tunaingia sokoni kuuza goal la feisal na kwa mujibu wa soko la dunia mpk kufikia jioni hii goal la feisal ni bil 2.4
 
Hili zoezi lingeendeshwa ule wakati wa pira Biriani la Ngamia sasa hivi pesa ingevuka m.200

Haki tena.
 
Yaani Mtu uharibu elfu moja yako ya kununua unga kilo moja kisa Yanga au Simba!! Shame
 
Nyie pigeni kura ila mm sipigi yaan nimwage sukari baharini???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama sisi wanamume mbona tunahonga na kunywea bia pesa mingi tu.
Yaani upigie bajeti buku moja...[emoji23][emoji23][emoji23]!
Lahaulah...!

Mashabiki wa Yangayangu kweli wamefulia.
Na ndio mnataka muongoze kutoa michango ya timu kiushindani.
 
Back
Top Bottom