kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
- Thread starter
-
- #21
GSM naye afanye hivyo maana hii AIBUTulishawagundua kitambo .... MAKOLO
Mwamedi kila siku anaweka 100k.....kwa kiswahili tunasema anajitekenya then anacheka mwnywe[emoji23][emoji23]
Manara aliwaeleza Yanga hawana shida ya pesa kujenga uwanja pesa ipo mingi hivyo wameamua kulipia uachama(wamepata billion) sasa vi michezo vya nani zaidi vya kazi gani????Yanga Tuna Tatizo?
Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.
Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!
Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Mmebadilisha kocha msisahau kubadili na waganga.Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Haya Izo Hela Mkanunue Kombe Sasa [emoji23]Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Sehemu zote washabiki wa Simba wanajitokeza kwa wingi kupita wa timu nyingine.Michezo ya kitoto mlianzaje kushiriki?
Nyie si mnajiita timu ya wananchi, nguvu yenu iko wapi sasa mbona kapu halina kitu mpaka muda huu?
Mi nilitegemea nyinyi mngekuwa kinara maradufu, kwanza mna experience ya kuchangia (kile kipindi cha kutembeza bakuli)
Pili nyinyi ndio club ambayo mnajinadi kuwa na mashabiki wengi siku zote na kuwa hata uwanjani huwa mnaongoza nyie kujaa
Kwa hiyo niamini kauli ya eze kumwaga kuwa mechi ambazo mnadaiwa kujaza asilimia kubwa waudhuriaji ni mashabiki wa simba?
Hai make sense timu ambayo inajitangaza kuwa na mashabiki wengi iwe nyuma kwa michango, iwe nyuma kwa followers za social media
Huo ukubwa wenu mi nauona kwenye mdomo wa manara ila kwa uhalisia tumewaacha mbi sana
Kwani Yanga nanyi mna mashabiki?.Yanga Tuna Tatizo?
Siku 10 Zimekatika toka hii changamoto ya NANI ZAIDI izinduliwe,Wenzetu Wamefikisha kura Zaidi Elfu mia moja sisi Yanga tupo Forty thousands hivi mpaka sasa, na Hapo Mashabiki wao ndo wapo dissappointed kwa Kuelekea kutokuwa Bingwa msimu huu.
Je Wangekuwa wanaenda kutwaa Ubingwa Si ndo Wangetuacha mbali Zaidi ya Hapa..!
Ndo Swali linakuja Yanga Mashabiki tupo sawa kweli.? Fursa Ya Wazi kwetu Kuonyesha tupo Lkn ndo fursa hiyo inatuvua nguo na aibu juu.
Dah!!!, Umeua.Tusidanganyane , Mashabiki wengi wa Yanga ni
1.mamantilie ,
2.wauza mkaa,
3.wazee hawana smartphone
4.wazibua vyoo
6.wachoma mahindi
7.ma housegirl
9. ma baamedi
Na Kazi nyingine za namna hiyo.
Na hili liko wazi kwani hata Jery Mlo alishawahi kulisema . Hivyo kuipata buku ya kupiga kura ni tatizo. Hizo hoja zao kwamba wako busy na ubingwa ni kutafuta kivuli cha kujificha.
Hamna loloteSubiri kama siku 2 hivi utaona jinsi yanga watakavyopindua meza
Tuna wachawiKwani Yanga nanyi mna mashabiki?.
Acheni Ubahiri Bana!....Mnampa tabu Msukule mjue. Anategemea baada ya Siku 2 Kura zitapigwa maradufu kwa Yanga dhidi Ya MnyamaYaani Mtu uharibu elfu moja yako ya kununua unga kilo moja kisa Yanga au Simba!! Shame
Nyie pigeni kura ila mm sipigi yaan nimwage sukari baharini???Acheni Ubahiri Bana!....Mnampa tabu Msukule mjue. Anategemea baada ya Siku 2 Kura zitapigwa maradufu kwa Yanga dhidi Ya Mnyama
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kama sisi wanamume mbona tunahonga na kunywea bia pesa mingi tu.Nyie pigeni kura ila mm sipigi yaan nimwage sukari baharini???