Naogopa kujichana kwa kiwembe mie mwenyewe

Tafuta amplicoxy. Sijui kama nimeandika sawa. Ila ipo strong sana.
 
Ukiweza pia, paka dawa ya mswaki hapo, kila usiku ukilala.. Ina ivisha, ila hiyo dawa inakausha kwa ndani. Kwa uzoefu wangu
Dawa meno ya kampuni ipi? au yoyote ile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…