Naogopa kumueleza Mke wangu ukweli kwamba nilichepuka

Am trying to think out loud, kama ulikua hujitambui hivo hata mkuyenge ulipata erection kweli? Kama ulipata aargh usituzuge ulienjoy show na kugugumia juu then unakuja unalalamika hukujitambua, kaongo sana wewe. 😂
Dada kuwa uyaone siku yakikuta ndio utajua vizuri
 
Au wanjipeleka kituo cha police wanajikamatisha. Wanapa dili police wawapgie wake zao waje kutolewa.
Mapenzi ni fursa
 
Sasa unaogopa nini si upige kimya
 
Au anaenda kituoni na kumpa askari teni anaingia sero,then wife anapigiwa kuja kukudhamini
 
Mwanamke hata akikufumania unapiga mchepuko chumbani kwenu au popote, kataa kabisa kwamba sio wewe mwambie atakuwa anaota ndoto.

NEVER EVER KUMUAMBIA UKWELI MKEO KUHUSU KUCHEPUKA.
 
Mweleze mkeo kama ulivyoandika hapa.

Kawahi Pep

Usikutane na mkeo
 
Hakuna haja ya kumtaarifu mpenzi wako nenda kapime vvu ujue hali ya afya yako kwanza,

sema usije kufanya uzembe kama ulioufanya Tena.
 
Lakini si tulikubaliana hakuna kukubali ukikamatwa umechepuka hata kama umekutwa kifuani kwa mwanamke?
Inakuaje mwenzetu unataka kubleach agreement?
 
Hakuna haja ya kumtaarifu mpenzi wako nenda kapime vvu ujue hali ya afya yako kwanza,

sema usije kufanya uzembe kama ulioufanya Tena.
Samahani hivi wewe ni ndugu yake yule binti Mama Samia aliyempa cheo pale morogoro?
 
Pu_mba_v kabisa yani hii unaiita ni ishu sensitive??

Hivi we jamaa ni mwanaume kabisaa au umesingiziwa??

Hata angekukuta upo hivo hivo na uyo dem unachotakiwa kufanya ni kukataa katakata, ona ulivo zuzu eti unataka kujikamatisha kabisa.

Aisee we jamaa hupaswi kuoa, utakufa siku si zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…