Ndo wengi wa hivi huwa hivyo.Ukikuta mama mwenye gubu
Unamaliza kufanya usafi anakuja anarudia upya π
Bado sanaNatimiza 23, mwezi july kipenzi
Kakichaa hako kwa mbaaaali!Hii mama ako nayo, nikisema nifue nianike zote unazikuta tena kwenye dishπππ
Kwakweli hakuna kuvunjika mgongo kuwafurahisha watuKabisa, hakuna tuzo hapo na haitawahi kuwepo.
Maisha hayataki kuteseka ili wengine wafurahi, woooih!
kabisa!Kwakweli hakuna kuvunjika mgongo kuwafurahisha watu
Atagomba siku nzimaHuku anakukosoa kwamba hujui kitu. π€£π€£
π³Mama yenu kawalea vibaya sana...
Ndoa zenu zitawashinda...
Itabidi nikufuate mim yangu nimeifunga loveMungu anisaidie, kama wewe umeweza naamini na mimi nitaweza.. Halafu nakuja pm kwanza nikuilize kitu
i hope i am.What a wise ladyπΉ.. Mungu akubariki sana aisee, hope ni mama bora sana kwa wanao
Ni kweli mkuu!Watatu π π π
Ni Kweli hatujawafikia Ila nafasi ya mama inakuwa palepale ukishakuwa na watoto
Njo tu ww PM Lee nimeifunguaSawa, nakusubiri
Umenifurahisha na kunichekesha at once ππππ€.. Ubarikiwe sana aiseei hope i am.
Mi mpk kuna siku nawaambia wanisugue miguu , bana weeeeeh kuna namna i want my life to be as sofy as possible!
So if a MAMA BORA tag comes na kuwaamsha watu waende kazini kutimiza wajibu wao wenyewe, ME am not!
If it comes na mengine yasiyohusisha kukunja mgongo, I AM!
Nakaziaπ₯°Watatu π π π
Ni Kweli hatujawafikia Ila nafasi ya mama inakuwa palepale ukishakuwa na watoto
πππAF watu mnafanya kazi bado mnakaa kwa wazazi?
Hamuoni kuwa kuwepo kwenu hapo nyumbani ni namna nyingine ya kumchosha huyo mama?
Mi wanangu wakitoka chuo, wakajitegemee huko.
Mmoja kashaanza, we mi nataka kuwa spoiled now mambo ya kulea mijitu mizima in the name of being a Mother sitaki!