Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisije kua mkabila umetaja character zote za mama angu..Nidokeze kidogo hata herufi ya kwanza🤭
Kwanb u focus kwenye MALALAMIKO? Ndivyo mlivyo au??Sidhani kama nitaweza kuwa nafanya kila kitu mwenyewe kama ambavyo yeye anafanya, tena bila kumlalamikia mtu
Uko sahihi Sanaa, kuna kipindi hapa katikati nilikua na changamoto za kikazi zilinipa stress sana,. Ilikua nisipopokea simu yake moja basi nitapewa taarifa reception kama nina mgeni wangu ambaye ni yeye..Nisije kua mkabila umetaja character zote za mama angu..
Kuna kipindi udogoni tukiugua care ya mama utadhani mnashare Maumivu ya homa za udogoni..
Kuna namna mimi siwezi kufanya shughuli yeyote pekeyangu ilihali kuna watu naweza kusaidiana nao.. Hiyo spirit sinaKwanb u focus kwenye MALALAMIKO? Ndivyo mlivyo au??
UZur hapa JF unaweza ukaja lalamika for free kabisa na ukapewa support.
Siku ukiwa mama automatically roho yake itakuvaa perceeUko sahihi Sanaa, kuna kipindi hapa katikati nilikua na changamoto za kikazi zilinipa stress sana,. Ilikua nisipopokea simu yake moja basi nitapewa taarifa reception kama nina mgeni wangu ambaye ni yeye..
Mtu yeyote akiumwa basi atasimamisha shughuli zake zote za siku hiyo abaki na wewe hadi upone..
Roho kama yake mimi sijabarikiwa aisee, inaniogofya😥😥
Usimuongopee mwenzio, character za hardworking zinakua cultivated, hazikuvai tu kama upako wa mwamposaSiku ukiwa mama automatically roho yake itakuvaa percee
Sijui kwann wamama wanaojitoa sana kwa familia zao watoto wao wanakuwaga kama magunia store.Kuna kitu hujakitaja! Baba yako yupo au ni single mother? Kwa maangaiko haya hawezi kujiweka nadhifu kumvutia mumewe, hilo mosi! Pili, kwa umri ulionao huwezi msaidia mama yako inaonyesha jinsi gani kazaa kizazi zembe kitakachokuwa mzigo kwake mwenyewe nguvu zikiisha! Ndo maana hata wewe unaogopa kuolewa jinsi unavyomuona mama yako! Hopeless mama! Angetakiwa awe anawaamsha usiku saa10 mfanyekazi na kujiandalia mambo yao wenyewe na kuweka mambo ya nyumbani yaliyondani ya uwezo wao
Ningepata chuma kama wewe kila baada ya miaka miwili tunatengeza junior mwingine.Mimi hamu yangu ni kuitwa mama tena
Naota icho kitu kila siku
Mwenyezimungu anifanyie wepesi
We jamaa wewe 😅😂Usimuongopee mwenzio, character za hardworking zinakua cultivated, hazikuvai tu kama upako wa mwamposa
Sisi kwetu wote Ni hard worker na katika watoto wake wote hakuna mzembe kielimu,kimaisha, kimaendeleo,kijamiiSijui kwann wamama wanaojitoa sana kwa familia zao watoto wao wanakuwaga kama magunia store.
Za kwangu njema/salama kabisaKwema za kwako?
Mama yenu ana mental disorder, nyie mnadhani yuko sawa na anawapenda..Hapendi, unaweza ukajioshesha vyombo anakuja arudie upya. Unaweza ufue nguo ukazikuta kwenye dishi ameanza tena, yaani kila kitu anaona kiko perfect akifanya mwenyewe
Umeona enh!Wewe ni mimi kabisa,mwanangu wa chekechea akitoka shule anafua soksi na lesso yake,akimaliza kula anatoa sahani na anasafisha alipolia chakula,sasa huyu mama mwenzetu kachagua kuwa mtumwa Kwa watoto wake mwenyewe Kwa kigezo cha kuwapenda!! Hawafundishi maisha !!!