Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

Nami Sina budi kujongea kwenye Uzi huu maana Ni muhimu kias chake
 
Wakuu, mimi nauliza:
Barring passwords za Airtel na Halotel.
Pamoja.
 
Forward all voice calls to 100 au namba ambayo haipatikani. hapo utaona sms, ww utaweza kupiga simu. Ila kila anayekupigia ataambiwa hupatikani.
 
Back
Top Bottom