GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mpaka kufikia saa moja, sitarajii kumuona shabiki wa Mikia fc, aki log in JF leo.Halafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Amini nakwambia Yanga hatoboi.....Mpaka kufikia saa moja, sitarajii kumuona shabiki wa Mikia fc, aki log in JF leo.
Na kama akifanya hivyo leo, basi nategemea kuwaona majukwaa mengine ila sio la sport.
Pamoja Braza popomaHalafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Popoma, ni wakati wako sasa huu wa kuja kuvuna ulichopanda. Wakati unaleta huu uzi wako nikitaka kuchangia, ila nikaona nikupuuze tu.Halafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Kesho wataanza tena zile kelele zao kumkataa kocha. Kisa eti kamuanzisha Aishi Manula!!Na pia tutaomba thread za malalamiko kwa uongozi zisiwepo. Maana wewe poppma ndio unaongoza kwa malalamiko lukuki
Sahihi ndugu,dahHalafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Kwa vile ulimpuuza bila shaka na yey atakupuuzaPopoma, ni wakati wako sasa huu wa kuja kuvuna ulichopanda. Wakati unaleta huu uzi wako nikitaka kuchangia, ila nikaona nikupuuze tu.