Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji1787]YametimiaKama kawaida wazee wa kufa kiume watakufa kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]YametimiaKama kawaida wazee wa kufa kiume watakufa kiume
kwa sisi tuanotoka Lupaso sasaivi tuchangie humuhumu au mvua imeleta usaliti?Halafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Nilikwambiaga yanga itachukua points 3 bila ya papatu papatu uwanjani kwenye mechi zote ulizosema tungefungwa.Halafu kuanzia Saa 1 Kamili hiyo ya leo tarehe 5 Novemba, 2023 ukija ( Uki Log In ) hapa Jamiiforums usije na Mihasira yako bali kuwa tu Mvumilivu kwani huo ndiyo Maana na Ukomavu wa Utani wa Jadi.
Mwenyewe kaingia mitini!Hello [emoji870] my broh GENTAMYCINE
Poleni, tumeitikia wito [emoji6]
Unaitisha kikao halafu hutokei😂😂😂Mwenyewe kaingia mitini!