Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mambo ya kitoto hayo.Uongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ili iweje?
KunogeshaKushandua ndio nini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Andaa mwenyewe na uende mwenyewe
Chaiunajua kjuana kuna faiada nyingi kulioo hasara
Wapo Wafanyabiashara humu
wapo wamakazini serikalin nk
Wapo wezi wamtandaon
wapo wapiga betting humuhumu
Wapo wanaotafuta ndoa kuolewa ama kuoa
wapo wanaosubiri miujiza ya kuolewa amakuoa
yaan tukikutana mainly n kupeana connection ukiona halalali si halali juuyako ilimradi watu kadhaa tunawatoa amakutoana kwenye sehemu flan ya maisha kwenda sehemu nyingine bora zaidi......
unahisi wale wa ntumie 700000 kwenda no ,wamohumu na wana win so tukishare juzi wanafankkiwaje tunasogeza sikuzakishiiiiiii
bilakusaahauùumzeedidybtakuwanamistariyanguukamakawaidaaaausiponielewaaawesongambeletundiomaishahetukidogokiingiemdomooniielsenawatakiausikumwemaaaaaa
😂🤣😂Mkuu na Kuna wengine walisema ni wakuu wa wilaya kumbe matapeli 😁🤣🤣 Cc 100 others
🤣😁😁😁😁Wanatumia picha za wanaijeria
Kwan kuliwahi kufanyika party ya JF? Lin na wap?🤣🤣🤣Hiyo Party utaamua tu mwenyewe kujulikana au kutokujulikana...kama Party zilizopita...
Ila hapo Pdiddy alikuwaa anatania bhana...
Hv vile vikamba vinavyopita huko backbencher huwa haziwakeri!Tayana emu niache kuna issue nafanya pm, hizo swimming costume zinataka body iliyonyooka ujue vikamba kamba vikipita maji yenyewe yanaruka sasa vibongisa si vitazama 😂😂😂
Uko wapi.....😹Ntashawishika kuhudhuria akiwepo Evelyn Salt
Nataka kujua anafananaje maana mambo yake yananikosha sana
AahaaaaLucas na genge lake wajiandae kisaikolojia
Ntatafuta maana yakeKunogesha