🤣🤣🤣Hiyo Party utaamua tu mwenyewe kujulikana au kutokujulikana...kama Party zilizopita...Nipo mpimbwe huku, watu wa dar wawe na amani najua hata hiyo party watataka ifanyike huko dar.
Hapana😂 msabato huyo inaonekana hana, are u msabato?
Utani wa kujuana wakati watu tulishasema tuna push Range rover 😅🤣🤣🤣Hiyo Party utaamua tu mwenyewe kujulikana au kutokujulikana...kama Party zilizopita...
Ila hapo Pdiddy alikuwaa anatania bhana...
Na tuko na simu za Bei...Utani wa kujuana wakati watu tulishasema tuna push Range rover 😅
Mkuu na Kuna wengine walisema ni wakuu wa wilaya kumbe matapeli 😁🤣🤣 Cc 100 othersUtani wa kujuana wakati watu tulishasema tuna push Range rover 😅
Kagomaaaa!!! Nampenda yule kaka,Mmefanya usajili wa nani??
Beach sitakiii, nataka hall tena yenye hadhi, watu tulipuke km Kamala Harris,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tayana emu niache kuna issue nafanya pm, hizo swimming costume zinataka body iliyonyooka ujue vikamba kamba vikipita maji yenyewe yanaruka sasa vibongisa si vitazama [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unajibizana na kina dada kiboga utawawaeza mahi? Hapo wana stress wana kazi ya kubadili id kila muda kuja kujisemesha.
Hapo wanaumia wanajifanya wameni ignore pembeni wananifatilia [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Nishawaambia mimi ndio oksijeni yao humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahMuache huyo kashachimbwa biti na shangazi bongisa hapo anaogopa kuja huku. [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu kumbe shangazi kapita kimeuma kaenda kujiliza hiiiiiii nchumba chitaki uongee na labella ananiponda [emoji81][emoji81][emoji81]
Na mibonge ikiwa inalia sasa, km simtank la litre 10,000 linavyomwaga maji [emoji1787]
Oyaaaa bff niache
Uswazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamusi gani hiyo ina neno la hivi?[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na tuko na simu za Bei...
Hii Infinix yangu nitaificha wapi[emoji1787]
Fanyeni mwisho wa mwaka na wengine tudoeeUongozi wa JF,
Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.
Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.
Ahsante, nawasilisha.
Khaaaa....Wazo zuri
Natakq nimuone @--ee💋 kijana anayeurarua moyo wangu
Ukiniona nipo na dumu la mbege ujue ndio mimi.🤣🤣🤣Hiyo Party utaamua tu mwenyewe kujulikana au kutokujulikana...kama Party zilizopita...
Ila hapo Pdiddy alikuwaa anatania bhana...