Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Naomba iwepo JF party kabla ya Septemba 30, 2024

Twitter wapo serious sana, by the way watu hawaogopi kujulikana Kwa sababu ya serikali...wanaogopa kujulikana Kwa sababu ya wanayoyasema humu unaweza Kuta mtu kutwa kuikosoa IST lkn uhalisia anabambia/ anabambiwa kwenye mwendokasi
Nimeipenda hii
 
Viwanja vya TTCL na Postal grounds Kijitonyama viko poa sana! Ningependekeza waite wafanyabiashara mbalimbali waje kutangaza brands zao... Kuwe na vinywaji, Vyakula na njonjo zingine kibao! Kama vipi liandaliwe bonanza maalum la soka lipigwe pale na michezo mingine kama kikapu, mpira wa pete, Tennis na kadhalika, mapema asubuhi kabla ya yote kuwe na jogging kwa ajili ya kupiga vita magonjwa yasioambukiza.... Usiku upigwe mziki mpaka majogoo ikiwezekana na tuite kama wasanii wawili watatu hivi ambao tutaweza kuwamudu

Maxence Melo
Wazo zuri sanaaa!! Una hoja usikilizwee!!
 
Uongozi wa JF,

Tunaomba kabla ya Sept 30, 2024 tuwe na JF party sehemu tu ya kawaida tupeane mawaidha.

Kwa wale madada tutafurahi kuwaona badala ya kutiana moyo inbox.

Ahsante, nawasilisha.
Huyu ndio kondooo anaeelekea kupotea haya sasa subiri wajibu wahusika😃😃
 
Back
Top Bottom