Wilbert255
Member
- Apr 15, 2020
- 27
- 28
Habari za muda Wakuu,
Kuna nyumba nimetokea kuzipenda, nimeona Kama gharama ni ndogo. Ni nyumba ambazo zimejengwa bati kwa juu hazionekani.
Kuna maswali najiuliza naomba majibu:
Je, kweli hizo nyumba zinatumia bati chache?
Je, naweza kutumia tofali za kuchoma?
Je, nikitaka kujenga nyumba ya vyumba vitatu (kwa staili ya hiyo nyumba) inaweza cost kiasi gani cha pesa?
Nawasilisha!
Kuna nyumba nimetokea kuzipenda, nimeona Kama gharama ni ndogo. Ni nyumba ambazo zimejengwa bati kwa juu hazionekani.
Kuna maswali najiuliza naomba majibu:
Je, kweli hizo nyumba zinatumia bati chache?
Je, naweza kutumia tofali za kuchoma?
Je, nikitaka kujenga nyumba ya vyumba vitatu (kwa staili ya hiyo nyumba) inaweza cost kiasi gani cha pesa?
Nawasilisha!