Naomba kueleweshwa haya kuhusu nyumba hizi ambazo bati zake hazionekani

Naomba kueleweshwa haya kuhusu nyumba hizi ambazo bati zake hazionekani

Mimi Nimejenga Contemporary na ndio naishi humo hadi sasa...Nawapa facts....!

1. Nyumba ina Room 3 mbili kawaida moja master,plus sitting,dinning na public toilet,two verandah...bati zilicost 1.6m na mbao zilicost 1.1m

2.nilifanya waterproofing mwenyewe maana ni kitu nakifahamu ilinigharimu laki 540 mpaka ufundi

3.nyumba yangu ina muonekano wa kipekee mtaa mzima

4.wiki hii nafanya heat insulation itanigharimu laki 4 nyuma itakua na joto la chini kabisa


cha kuzingatia

1.Waterproofing
2.heat nsulation au uweke vent za kupitisha hewa kwenye paa
3. jitahidi kwenye madirisha ziba juu kwa polysulphide sealant inauzwa elf 25 moja inatosha ili kuzuia maji yasiingie ndani ya mvua,usizibe kwa silicone

4.inaweza kujengwa na tofali yoyote


nakaribisha maswalu
Naomba unielezee kuhusu hiyo namba 4
 
Zile nyumba zina gharama kwenye finishing kwa sababu usipowekea bajeti nzuri kwenye finishing zinakuwa kama msikiti wenye uongozi wa mashehe wanaokula hela za michango ya ujenzi.
PIA sio kila fundi anaziwezea.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Zile nyumba zina gharama kwenye finishing kwa sababu usipowekea bajeti nzuri kwenye finishing zinakuwa kama msikiti wenye uongozi wa mashehe wanaokula hela za michango ya ujenzi.
PIA sio kila fundi anaziwezea.
Ha ha ha ha
 
Kuna jamaa instagram wanahusika na hizo nyumba ila nimesahau majina yao
kwa nillivosikia zile nyumba hazina bati kabisa juu,ile ni concrete tu na nondo.wanadai zina gharama nafuu
zaidi ya hapo wasubiri wakuu
Vitu vingine vinachekesha... yaani zege la nondo liwe garama nafuu kuliko bati!!ww UKICKIA WAAPI!?huko Kunakua na bati km kawaida,Ila zinakua chache coz hakuna mbwembwe
 
Hizi nyumba inatakiwa kujengwa sehemu zenye hali ya jangwa kama huko Uarabuni ambako nadhani ndo asili yake, kule hawana mvua pia haziathiriwi na upepo mkali ulioko kule. Wabongo kwa kuiga nao wameanza kuzijenga bila kujua chimbuko lake, naweza sema ni ulimbukeni!!
Vyote ni ulimbukeni tu mkuu,ulitaka tuish mapangoni km Zama za chuma?
 
Vitu vingine vinachekesha... yaani zege la nondo liwe garama nafuu kuliko bati!!ww UKICKIA WAAPI!?huko Kunakua na bati km kawaida,Ila zinakua chache coz hakuna mbwembwe

mkuu mbona nimeshaziona nyingi kwa juu huku hakuna bati kabisa, hii imekaaje ?
 
Habari za muda Wakuu

Kuna nyumba nimetokea kuzipenda, nimeona Kama gharama ni ndogo
Ni nyumba ambazo zimejengwa bati kwa juu hazionekani

Kuna maswali najiuliza naomba majibu.

Je, kweli hizo nyumba zinatumia bati chache?

Je, naweza kutumia tofali za kuchoma?

Je, nikitaka kujenga nyumba ya mimi ni fundi mzoefu wa kuezeka vivo .vyumba vitatu (kwa staili ya hiyo nyumba) inaweza cost kiasi gani cha pesa?

Nawasalisha!

View attachment 1618253
Ndugu mimi n fundi mzoefu wa kuezeka kwa nyumba kama hzo zinahitaji Fundi making sana sababu huwa zinavuja sana kama Fundi hawi making ukinihitaji 0624414200
 
Mimi Nimejenga Contemporary na ndio naishi humo hadi sasa...Nawapa facts....!

1. Nyumba ina Room 3 mbili kawaida moja master,plus sitting,dinning na public toilet,two verandah...bati zilicost 1.6m na mbao zilicost 1.1m

2.nilifanya waterproofing mwenyewe maana ni kitu nakifahamu ilinigharimu laki 540 mpaka ufundi

3.nyumba yangu ina muonekano wa kipekee mtaa mzima

4.wiki hii nafanya heat insulation itanigharimu laki 4 nyuma itakua na joto la chini kabisa

cha kuzingatia

1.Waterproofing
2.heat nsulation au uweke vent za kupitisha hewa kwenye paa
3. jitahidi kwenye madirisha ziba juu kwa polysulphide sealant inauzwa elf 25 moja inatosha ili kuzuia maji yasiingie ndani ya mvua,usizibe kwa silicone

4.inaweza kujengwa na tofali yoyote

nakaribisha maswalu
Sorry. Uliweza kujenga kwa gharama kiasi gani mpala nyumba ikasimama?
 
Sawa nitajirekebisha uandishi Wangu. nilkuwa namaanisha fundi makini sio making nadhan umenipata
 
Zinapendeza ila nadhani gharama kubwa ni kwenye finishing,na ukijifanya kukwepa gharama hiyo nyumba itaonekana ya kawaida sana na hata kukusumbua kwa kuvuja inapoanza kuzeeka....
 
Back
Top Bottom