ZE DONE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2012
- 212
- 323
5m bati boss kama utanunua za gage 28 let say kwa 33000 10ft hizo ni bati 150 kwa uezekaji huo nahisi hilo litakua kanisa sio nyumba ya kuishi. NB nimetumia bati 120 kuezeka muezeko wa kawaida nyumba yenye vyumba 4 vya kulala na makolokolo mengine. HIZO SIO BATI CHACHE1. Ndio zinatumia bati chache
2. Ndio waweza tumia tofali za kuchoma
3. Gharama kwa boma 15m (normal standards )
Gharama kwa bati 5m
Gharama za finishing kuanzia 20m na kuendelea kulingana na uchaguzi wako wa materials