5m bati boss kama utanunua za gage 28 let say kwa 33000 10ft hizo ni bati 150 kwa uezekaji huo nahisi hilo litakua kanisa sio nyumba ya kuishi. NB nimetumia bati 120 kuezeka muezeko wa kawaida nyumba yenye vyumba 4 vya kulala na makolokolo mengine. HIZO SIO BATI CHACHE1. Ndio zinatumia bati chache
2. Ndio waweza tumia tofali za kuchoma
3. Gharama kwa boma 15m (normal standards )
Gharama kwa bati 5m
Gharama za finishing kuanzia 20m na kuendelea kulingana na uchaguzi wako wa materials
Habari za muda Wakuu
Kuna nyumba nimetokea kuzipenda, nimeona Kama gharama ni ndogo
Ni nyumba ambazo zimejengwa bati kwa juu hazionekani
Kuna maswali najiuliza naomba majibu.
Je, kweli hizo nyumba zinatumia bati chache?
Je, naweza kutumia tofali za kuchoma?
Je, nikitaka kujenga nyumba ya vyumba vitatu (kwa staili ya hiyo nyumba) inaweza cost kiasi gani cha pesa?
Nawasalisha!
View attachment 1618253
Mafundi wako wengi sana wazuri naoNdio mpaka umpate findi mzuri
Ha ha ha [emoji23]Pamoja na kuwa utaezeka kwa gharama nafuu ila ujue utalipia huo unafuu kwenye kuidhibiti isivuje wakati wa mvua kwani zinaongoza kwa kuvuja ikiwa itaezekwa bila kufuata utaalamu elekezi,pia kwenye kupaka rangi ndani na nje utabidi upake rangi za gharama zenye kuzuia maji tofauti na kujenga nyumba zenye pia lenye kuonekana maana unaweza ikaskim na gypsum powder na siku zikaenda wakati unatafuta pesa za kununulia rangi ila kwa hizo nyumba haiwezekani,na mwisho utalipia huo unafuu kwenye madirisha,kwani haziihitaji madirisha ya nyavu zinataka uweke ya vioo(aluminium au pvc)kwani mvua ikinyesha inanyeshea direct chumbani bila kikwazo
5m bati boss kama utanunua za gage 28 let say kwa 33000 10ft hizo ni bati 150 kwa uezekaji huo nahisi hilo litakua kanisa sio nyumba ya kuishi. NB nimetumia bati 120 kuezeka muezeko wa kawaida nyumba yenye vyumba 4 vya kulala na makolokolo mengine. HIZO SIO BATI CHACHE
Hi ni ndharia.....hata za paa mvua inaweza nyesha direct inategemea na jinsi mvua inavyonyesha na upepoPamoja na kuwa utaezeka kwa gharama nafuu ila ujue utalipia huo unafuu kwenye kuidhibiti isivuje wakati wa mvua kwani zinaongoza kwa kuvuja ikiwa itaezekwa bila kufuata utaalamu elekezi,pia kwenye kupaka rangi ndani na nje utabidi upake rangi za gharama zenye kuzuia maji tofauti na kujenga nyumba zenye pia lenye kuonekana maana unaweza ikaskim na gypsum powder na siku zikaenda wakati unatafuta pesa za kununulia rangi ila kwa hizo nyumba haiwezekani, na mwisho utalipia huo unafuu kwenye madirisha,kwani haziihitaji madirisha ya nyavu zinataka uweke ya vioo(aluminium au pvc)kwani mvua ikinyesha inanyeshea direct chumbani bila kikwazo
Unaweza ona hiyo nyumba ilivyo,kilichoifanya ipendeze hapo sio design ila urembo wa mazingira na finishing ni tofauti na hii hapa chini inapendeza Bila kutegemea landscapekama hii ..View attachment 1636585
Hizo nyumba sio nafuu bali zinahitaji pesa nyingi ili zifanyiwe urembo na kipengele hicho ndio kinafidia pesa ya kwenye bati kwa hiyo inabskia kuwa ni option ya mtu kuchagua.oh
ni kweli zina muonekano mzuri sana,siku hizi nyumba za bati zimepitwa na wakati
Angalia manguzo yalivyo mengi afu mtu akwambie eti ni nafuu,thubutuView attachment 1637420View attachment 1637421View attachment 1637422
Unaweza kuingia Instagram pia kuwacheki mafundi wakumbie huku ukisubiria majibu ya huku.Mafundi wako kibao kule utapata kitu
Wala haiwezi kuvuna ila fanya vitu viwili;Sinaitwa kontemporary kaka angu ananishauri Sanaa nijenge stailo ya nyumba hzo ila was was wanting isje nyumba kuvuja wakat wa mvuaa maanke naona kbsa hkna kizuizi mvua inapiga directly Kama ilivyo na nyumba yote italowaa majiKama mti ukionyeshewa
Hiyo nyumba inapendeza?? Ni wapi unaweza muekea mtu madirisha ya hivyo??Unaweza ona hiyo nyumba ilivyo,kilichoifanya ipendeze hapo sio design ila urembo wa mazingira na finishing ni tofauti na hii hapa chini inapendeza Bila kutegemea landscapeView attachment 1652314View attachment 1652315
Hii ndio itakuwa nyumba yangu hakuna cha bati ni nzege juuInapendeza ukifunika na zege ila kupaua kwa bati hazivutii ila kila mtu na mapenzi yake
Nalog off
Zile nyumba zina gharama kwenye finishing kwa sababu usipowekea bajeti nzuri kwenye finishing zinakuwa kama msikiti wenye uongozi wa mashehe wanaokula hela za michango ya ujenzi.Hii nadhalia ya kwamba hizi nyumba ni nafuu sio kweli, ukweli ni kwamba gharama za kupauwa zinapunguwa kwa kiwango kikubwa maana zinatumia mbao chache na bati chache lakini sehemu nyingine kama kusimamisha boma na kufanya finishing gharama zipo vilevile nimeongea na mafundi wengi wanatoa ushauri huo kinachobadilika ni mtindo tu wa ujezi......
Kweli kenchi na bati ni utata usawa huu, ukizingatia mapaa marefu nikama yapo kwenye chati.Kuna jamaa instagram wanahusika na hizo nyumba ila nimesahau majina yao
kwa nillivosikia zile nyumba hazina bati kabisa juu,ile ni concrete tu na nondo.wanadai zina gharama nafuu
zaidi ya hapo wasubiri wakuu
Unajua kusimamisha boma gharama yake inaweza kuwa mara moja na nusu ya gharama ya paa ya kupaua kwa bati na kenchi ndefu za siku hizi, hasa kwa mikoani!?Hakika, utakachopunguza kidogo ni gharama za mabati na mbao pekee. Vitu vingine vinabaki vilevile