Hii nimeikubali...swali,,hizi nyumba hazituamishi juu mvua ikinyesha?View attachment 1637420View attachment 1637421View attachment 1637422
Unaweza kuingia Instagram pia kuwacheki mafundi wakumbie huku ukisubiria majibu ya huku.Mafundi wako kibao kule utapata kitu
Hazivutii kivipi wakati bati hazionekani? Kuezeka kwa zege ni gharama kubwa ukilinganisha na kutumia bati. Huyu amependa structure ya nyumba hizi lkn kwa bei nafuu.Inapendeza ukifunika na zege ila kupaua kwa bati hazivutii ila kila mtu na mapenzi yake
Nalog off
hyo migongo migongo juu kabsa kwenye paa ni bati au zege alafu maji ya mvua huwa yanashukia wapi au yanaingia moja kwa moja ndani mpaka kwenye mandoo?Hii ya kwangu imenilia hela nyingi sana sana katika roofing!
View attachment 1652408
Akikujibu nitag!hyo migongo migongo juu kabsa kwenye paa ni bati au zege alafu maji ya mvua huwa yanashukia wapi au yanaingia moja kwa moja ndani mpaka kwenye mandoo?
😀 hahaa naona unakana post yakoAkikujibu nitag!
Hizo nyumba huezekwa kwa bati na hapo unaloliona ni bati, maji yanatoka kupitia gutter. Kwenye gutter ndio kwenye utata, unatakiwa utumie gharama kubwa na fundi mzuri sana, la sivyo utakiona.hyo migongo migongo juu kabsa kwenye paa ni bati au zege alafu maji ya mvua huwa yanashukia wapi au yanaingia moja kwa moja ndani mpaka kwenye mandoo?
Hizo nyumba huezekwa kwa bati na hapo unaloliona ni bati, maji yanatoka kupitia gutter. Kwenye gutter ndio kwenye utata, unatakiwa utumie gharama kubwa na fundi mzuri sana, la sivyo utakiona.
Mkuu unapatikana mkoa ganZinaitwa contemporary house, imepauliwa kwa bati ya kawaida na miti pembeni guter yake ni concrete Karibu View attachment 1651149
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hiyo picha waliyoweka Marine sio contemporary ,hiyo ni Ghorofa mkuu.Angalia manguzo yalivyo mengi afu mtu akwambie eti ni nafuu,thubutu
Ramani nimeilewa sana hii ,ngoja nijichange nije kushusha huu mjengo.Hii ya kwangu imenilia hela nyingi sana sana katika roofing!
View attachment 1652408
maishapopote hiyo heat insulation unamaanisha hizo vent ukishaweka alumninum vioo ni sawa pia au? Funguka kidogo mwanaMimi Nimejenga Contemporary na ndio naishi humo hadi sasa...Nawapa facts....!
1. Nyumba ina Room 3 mbili kawaida moja master,plus sitting,dinning na public toilet,two verandah...bati zilicost 1.6m na mbao zilicost 1.1m
2.nilifanya waterproofing mwenyewe maana ni kitu nakifahamu ilinigharimu laki 540 mpaka ufundi
3.nyumba yangu ina muonekano wa kipekee mtaa mzima
4.wiki hii nafanya heat insulation itanigharimu laki 4 nyuma itakua na joto la chini kabisa
cha kuzingatia
1.Waterproofing
2.heat nsulation au uweke vent za kupitisha hewa kwenye paa
3. jitahidi kwenye madirisha ziba juu kwa polysulphide sealant inauzwa elf 25 moja inatosha ili kuzuia maji yasiingie ndani ya mvua,usizibe kwa silicone
4.inaweza kujengwa na tofali yoyote
nakaribisha maswalu
Wala haiwezi kuvuna ila fanya vitu viwili;
1) Tafuta fundi bingwa wa kufanya "roofing", hapa ni pamoja na kujenga " gutter" zenye ubora wa hali ya juu sana.
2) Tafuta fundo mzuri wa rangi, na ingia gharama sana kwenye rangi ili kuepusha rangi kulowa na kubanduka
Hizi nyumba kama huna pesa ya kutosha achana nazo, ni gharama sana na sana sana kwenye roofing
Bati zipo ila huwez kuziona jinsi walivyoziwekaKuna jamaa instagram wanahusika na hizo nyumba ila nimesahau majina yao
kwa nillivosikia zile nyumba hazina bati kabisa juu,ile ni concrete tu na nondo.wanadai zina gharama nafuu
zaidi ya hapo wasubiri wakuu