Naomba kueleweshwa haya kuhusu nyumba hizi ambazo bati zake hazionekani

Inapendeza ukifunika na zege ila kupaua kwa bati hazivutii ila kila mtu na mapenzi yake
Nalog off
Hazivutii kivipi wakati bati hazionekani? Kuezeka kwa zege ni gharama kubwa ukilinganisha na kutumia bati. Huyu amependa structure ya nyumba hizi lkn kwa bei nafuu.
 
Zege ni nzuri bt hawa mafundi wetu ni pasua kichwa maana akikosea tu ameshakuumiza na wakati mvua unyevu utatokea mpaka ndani mwisho wa siku hata amani ya kulala hiko chumba itapotea maana ni mwendo wa kuhis zege litaanguka usiku.
 
hyo migongo migongo juu kabsa kwenye paa ni bati au zege alafu maji ya mvua huwa yanashukia wapi au yanaingia moja kwa moja ndani mpaka kwenye mandoo?
Hizo nyumba huezekwa kwa bati na hapo unaloliona ni bati, maji yanatoka kupitia gutter. Kwenye gutter ndio kwenye utata, unatakiwa utumie gharama kubwa na fundi mzuri sana, la sivyo utakiona.
 
Hizo gata mbona hazionekan kwenye huo mchoro au zinafichwa ?
Hizo nyumba huezekwa kwa bati na hapo unaloliona ni bati, maji yanatoka kupitia gutter. Kwenye gutter ndio kwenye utata, unatakiwa utumie gharama kubwa na fundi mzuri sana, la sivyo utakiona.
 
Hizi nyumba inatakiwa kujengwa sehemu zenye hali ya jangwa kama huko Uarabuni ambako nadhani ndo asili yake, kule hawana mvua pia haziathiriwi na upepo mkali ulioko kule. Wabongo kwa kuiga nao wameanza kuzijenga bila kujua chimbuko lake, naweza sema ni ulimbukeni!!
 
maishapopote hiyo heat insulation unamaanisha hizo vent ukishaweka alumninum vioo ni sawa pia au? Funguka kidogo mwana
 

Umeeleza yote...kama unataka kujenga nyumba yenye paa namna hii basi anza kuzoea kwa kucheza BIKO au anza kujifunza kufanya betting ya mipira ili upate mazoea ya kupata maumivu ya pesa yako
 
Kuna jamaa instagram wanahusika na hizo nyumba ila nimesahau majina yao
kwa nillivosikia zile nyumba hazina bati kabisa juu,ile ni concrete tu na nondo.wanadai zina gharama nafuu
zaidi ya hapo wasubiri wakuu
Bati zipo ila huwez kuziona jinsi walivyoziweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…