Naomba kueleweshwa hii takwimu iliyotolewa na bodi ya ligi kupitia admin wao wa mtandao wa X

Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
wapi wameandika wastani?
wastani unajua maana yake
 
Yaani timu iliyo na magoli 59 ndio iwe ndio timu pekee iliyokuwa na wastani wa kufunga goli kila mchezo. Vipi kwa timu iliyokuwa na magoli 63 na 71?
We jamaa kuna sehemu wametumia neno "wastani" au tukumbushane vipaumbele vya Lowasa?
 
Hesabu nilipata F lakini haka ka concept ni kepesi kukaelewa bila hata kueleweshwa...
 
Baada ya kufunga kila mchezo mmefaidika nini? Zaidi ya kuambulia aibu msimu mzima! Makolo nyie
Wabongo ndiyo watu wasioelewa pengine dunia nzima..

Hata lugha yao hawaielewi.

Haya kwa Kiingereza wamewatafsiria.

Mmechagua kutowaelewa Bodi ya Ligi. Leteni takwimu zenu zinazoonyesha kuna timu nyingine ilifunga katika kila mchezo.
 
Mungu hakupi kilema akakukosesha na mwendo
 
Huu ni Utani Mkuu usichukulie serious sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…