Naomba kueleweshwa suala la ndege ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya Tanzania Bara kupokelewa Zanzibar

Naomba kueleweshwa suala la ndege ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya Tanzania Bara kupokelewa Zanzibar

NAOMBA KUELEWESHWA SUALA LA NDEGE YA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI YA TANZANIA BARA KUPOKELEWA ZANZIBAR.

ZAA = Zanzibar
TAA = Tanzania BARA

Naomba kueleweshwa kwa Uhuru wa mawazo "the right to express my opinion under Article 18 of the Constitution of Tanzania of 1977" kuanzia zamani hakuna pa kuongelea hadi zama za G55 ,Mchungaji Mtikila na sasa kwenye social media utapata mengi kuhusu malalamiko ya watanzania bara.

Tafuta habari ya ndege kupokelewa Zanzibar kisha soma maoni au nenda kwenye Political platforms mbalimbali,

Hoja sio MATUMIZI
Bali swala la Ujenzi na uchukuzi sio la MUUNGANO
Kwanini swala sio la MUUNGANO likafanyike Zanzibar??
Lini swala lisilo la MUUNGANO la Zanzibar litafanyika Tanzania BARA??
Ukiondoa Waziri wa Ndani Ulinzi Nje hakuna Waziri mwingine yeyote anahusika na chochote kule Zanzibar.

Pia TGFA na ATCL hawahusiki lolote kule Zanzibar sababu wapo Chini ya Wizara ya Ujenzi na uchukuzi isiyo ya MUUNGANO
Hapa MAMLAKA za Viwanja vya ndege Zanzibar wanayo yao
Usajili wa vyombo VYA usafiri wao
Kila kitu cha Ujenzi na uchukuzi chao wao wenyewe pekee DAIMA DUMU,

Ni vizuri wajue kuwa hizo ndege ni za Wizara ya Ujenzi na uchukuzi ya Tanzania BARA huko Zanzibar ni MAPOKEZI tu
Wasije anza sema SMZ imenunua ndege hizo
Masuala ya Muungano ni magumu na ukipata viongozi wasioweza kutathimini maadhara kuhusu maamuzi yao ni taabu Sana... thanks
 
Mimi ni mgeni humu hivi sukuma gang ni Wasukuma,kanda ya ziwa,au CCM.

Nakusikilizia counter hapa unijibu.
Wengine ni sukuma gangs na wao ni mdebwedo wanengua viu......n 😁😁😁😁
 
Wakati wasukuma wanateuliwa kila post na ikulu kuhamia chatle mlikua kimya.
Sasa macho yako pwani na visiwani watu roho juu.
Acha na siye tumulikwe.
 
Hii ndo move aliyoshindwa kuicheza Nyerere pamoja na kuwa na upper hand kwenye negotiations zilizopelekea integration na zanzibar.....babu sijui alikuwa anawaza nini. Sasa unajikuta unatumia pesa nyingi ku-run serikali inayohudumia watu milioni moja unaipa status ya nchi wakati ungeweza kuipa status ya mkoa na kuondoa hizi kelele kelele zinazoendelea sasa.
kweli kabisa mkuu kwa hali tuliyofikia ni ngumu sana kujitenga nao hao watu ni vyema tukaboresha zaidi mazingira yetu tuwe kitu kimoja na wote tukawa na haki sawa hizi mambo sijui wazanzibar ukienda kule huna haki ya kupata kazi kwenye serikali yao kama huna kitambulisho cha uzanzibar mkaazi ila wao wakija huku wala hakuna anayejishughulisha tunawaona kama ndugu zetu na watanzania yoyote yule ila wao nitofauti kabisa hawatuchukulii kama ndugu zao kabisa..
 
NAOMBA KUELEWESHWA SUALA LA NDEGE YA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI YA TANZANIA BARA KUPOKELEWA ZANZIBAR.

ZAA = Zanzibar
TAA = Tanzania BARA

Naomba kueleweshwa kwa Uhuru wa mawazo "the right to express my opinion under Article 18 of the Constitution of Tanzania of 1977" kuanzia zamani hakuna pa kuongelea hadi zama za G55 ,Mchungaji Mtikila na sasa kwenye social media utapata mengi kuhusu malalamiko ya watanzania bara.

Tafuta habari ya ndege kupokelewa Zanzibar kisha soma maoni au nenda kwenye Political platforms mbalimbali,

Hoja sio MATUMIZI
Bali swala la Ujenzi na uchukuzi sio la MUUNGANO
Kwanini swala sio la MUUNGANO likafanyike Zanzibar??
Lini swala lisilo la MUUNGANO la Zanzibar litafanyika Tanzania BARA??
Ukiondoa Waziri wa Ndani Ulinzi Nje hakuna Waziri mwingine yeyote anahusika na chochote kule Zanzibar.

Pia TGFA na ATCL hawahusiki lolote kule Zanzibar sababu wapo Chini ya Wizara ya Ujenzi na uchukuzi isiyo ya MUUNGANO
Hapa MAMLAKA za Viwanja vya ndege Zanzibar wanayo yao
Usajili wa vyombo VYA usafiri wao
Kila kitu cha Ujenzi na uchukuzi chao wao wenyewe pekee DAIMA DUMU,

Ni vizuri wajue kuwa hizo ndege ni za Wizara ya Ujenzi na uchukuzi ya Tanzania BARA huko Zanzibar ni MAPOKEZI tu
Wasije anza sema SMZ imenunua ndege hizo

Swali zuri.. Sikiliza kwa umakini na ili uelewe weka siasa pembeni.

TGFA ilishahama Wizara ya Uchukuzi tokea mwaka 2018, ilipitishwa na Bunge 2018, na GN ya serikali ilitoka 2018, iko chini ya State House, na TGFA ndio owner wa hizo ndege zote za ATCL kwa niaba ya Serikali.

Sasa, TGFA ndio inawabeba viongozi wote wa juu Serikalini, kuanzia Bara hadi Visiwani.. Kwa maana hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, Rais wa Znz, Makamu wa Muungano na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa JM wa Tz, wote hawa wanapewa usafiri wa Anga na TGFA..

So ndege za TGFA, kupokelewa Znz, na baadae kukabidhiwa kwa mkataba ATCL ni sawa. Umeelewa?
 
Hapo linatafutwa chaka la kutoa hotuba za kiccm Kwa wazanzibar sa lazma liandaliwe tukio hapo Leo makamu wa Kwanza WA rais atanangwa kwenye matv na redio mpaka akome vitukio kama hivi ni ajenda za maccm kufanya kampeni kama hujui SASA si unakumbuka mwendazake alichokula anakifanya kwenye matukio kama haya ndicho kinatafutwa SASA we tega sikio Tu.
 
Huyu Hangaya ana choko choko sana za chini kwa chini na makundi haya; 1. Bara 2. Wanaume 3. Kanda ya ziwa 4. Wanyonge ..acha tuendelee kumstahi kidogo
 
Sioni tatizo hata chembe, tena hii ni hatua nzuri kabisa. Kwa nini? sababu ni kwamba Zanzibar wanaserikali yao lakini wapo pia kwenye serikali ya muungano. Tanganyika ndio hawapo kwenye ramani. Ila sio shida as such. Ni wakati sasa wa kuleta umoja na ukaribu kwani hii ni nchi moja. Ndege zikipokelewa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Kumbuka Rais wa Zanzibar ni Waziri katika Serikali ya muungano. Taarifa ilisema Rais Samia amemtuma Rais wa Zanzibar kupokea Ndege hizo kwa niaba yake period. Shida ipo wapi?
 
Unaweza kukuta ndege tayari zimeingizwa kwenye mambo ya muungano, si sisi wenyewe ndo tumekalia usukani bhanaa. Hata sUala la mzanzibari kuwa waziri wa uchukuzi halijakaa sawa maana hilo siyo jambo la muungano, na ukifuatilia unaweza kukuta hata ma-DED ambao ni wazanzibari....
Wakiambiwa iwe Serikali moja wanang'aka ila mambo wanayotenda ni ya Serikali moja. Sasa unakaa unajiuliza hawa watu wana Akili kweli. Wanatenda wasichokihubiri. Hivi Ndege hizo zinaenda Kupokelewa huko ili iweje? Zinaenda kupakwa Marashi ya Karafuu? Au ni sehemu ya Kampeini kuonekana chini ya utawala wake Ndege zilifikia pia sehemu nyingine ya Muungano?
 
Mimi ni mgeni humu hivi sukuma gang ni Wasukuma,kanda ya ziwa,au CCM.

Nakusikilizia counter hapa unijibu.
Wote ambao walikuwa wanamuona yule kichaa kama mungu wao, hii haijarishi una chama au huna.
 
Huyu Hangaya ana choko choko sana za chini kwa chini na makundi haya; 1. Bara 2. Wanaume 3. Kanda ya ziwa 4. Wanyonge ..acha tuendelee kumstahi kidogo
Mama anaupiga mwingi, wanaume kamili marijali tutamlinda kwa gharama yoyote dhidi ya wajane na mayatima aliowaacha mwendakuzimu.

Muacheni mama achape kazi, kutesa kwa zamu, sasa ni zamu yetu. [emoji817]
 
Unaweza kukuta ndege tayari zimeingizwa kwenye mambo ya muungano, si sisi wenyewe ndo tumekalia usukani bhanaa. Hata sUala la mzanzibari kuwa waziri wa uchukuzi halijakaa sawa maana hilo siyo jambo la muungano, na ukifuatilia unaweza kukuta hata ma-DED ambao ni wazanzibari....

Hata ma Dc , Dc wa Iringa Mjini ni Mzanzibar.
 
Hii nchi kuielewa ngumu sana....

Ujenzi na Uchukuzi sio jambo la Muungano
Vipi kuhusu ATCL, ni shirika la Muungano au Tanganyika?
 
isee kama ni amri yangu zanzibar ningefanya tu jiji then wizara zote zingekuwa sawa na ningeamisha watu wengi sana hasa walaimu na maness na askari wazanzibar wangekuja huku na wa huku wangeenda kule hii ingesaidia kuondoa ile hali ya sisi wazanzibar sijui nini nini...ingepotea kabisa..
Mawazo hayo alikuwa nayo Nyerere yakamshinda akajiondokea zake seuze wewe mburumatari. Kua uyaone mambo
 
Hii ndo move aliyoshindwa kuicheza Nyerere pamoja na kuwa na upper hand kwenye negotiations zilizopelekea integration na zanzibar.....babu sijui alikuwa anawaza nini. Sasa unajikuta unatumia pesa nyingi ku-run serikali inayohudumia watu milioni moja unaipa status ya nchi wakati ungeweza kuipa status ya mkoa na kuondoa hizi kelele kelele zinazoendelea sasa.
Kama ulivyosema yalimshinda Nyerere, wewe tulia tu.
 
Back
Top Bottom