Swali zuri.. Sikiliza kwa umakini na ili uelewe weka siasa pembeni.
TGFA ilishahama Wizara ya Uchukuzi tokea mwaka 2018, ilipitishwa na Bunge 2018, na GN ya serikali ilitoka 2018, iko chini ya State House, na TGFA ndio owner wa hizo ndege zote za ATCL kwa niaba ya Serikali.
Sasa, TGFA ndio inawabeba viongozi wote wa juu Serikalini, kuanzia Bara hadi Visiwani.. Kwa maana hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, Rais wa Znz, Makamu wa Muungano na Makamu wa Kwanza na wa Pili wa Zanzibar na Waziri Mkuu wa JM wa Tz, wote hawa wanapewa usafiri wa Anga na TGFA..
So ndege za TGFA, kupokelewa Znz, na baadae kukabidhiwa kwa mkataba ATCL ni sawa. Umeelewa?