Naomba kueleweshwa suala la ndege ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ya Tanzania Bara kupokelewa Zanzibar

Huyu mama hatufai kabisa kabisa.katiba haijui
 
Huu ndio muungano hasa wa kusubiri uchafuzi unaopewa jina la uchaguzi , tupigwe marisasi Na viboko Lengo ni kutulazimisha tuwe waTanganyika kwa jina la Tanzania
 
Ni kama tu magufuli alivokuwa anapendelea chato, naona na mama sasa kabeba ndege na kupeleka Zenji
 
Mleta mada huoni kwamba ulitakiwa ujiridhishe kwanza, kama Wizara ya ujenzi ambayo kweli si ya Muungano ndio mmiliki wa hizo ndege?!

Kama taasisi inayo miliki hizo ndege iko moja kwa moja chini ya ofisi ya Rais wa Jamhuri wa Muungano, vipi ndege ziwe ni za upande mmoja kivipi?!
Mkuu kwa ufupi, hizo ndege huwezi kusema ni bara peke yake na huo ndio ukweli! Na mimi ni M-bara.
 
Ndege si mali ya atcl ni mali ya ile taasis ambayo si ei jii hana mamlaka kikatiba ya kuikagua mahesabu yake wala mikataba ya manunuz wanayoingia
 
Hahaha! Zenj inapeta Sana awamu hii!
 
Dakika ya 10 ya mchezo, matokeo:

Wakojani 3 Sukuma Gang 0.

Bado dk.80
Haya maneno "Sukuma Gang" yatatuletea shida sana huko mbeleni kwa wale ambao watakuwepo hapa duniani..

Ukabila na Udini ni vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za binadamu moja kwa moja...

Tuwe waangalifu kwa mstakabali wa vizazi vijavyo...

Ijumaa njema na mapokezi mema ya "ndege ZETU"...
 
Ndege ni za TGFA ipo chini ya IKULU kuanzia wakati wa Magufuli.
TGFA ni ya Tanzania BARA HAIHUSIKI Zanzibar kwa lolote
ATCL ipo chini ya WIZARA ya Ujenzi na uchukuzi ya Tanzania BARA
Hakuna sehemu yeyote ATCL wala TGFA inahusika na Zanzibar kwa lolote.
Zanzibar wana Taasisi zao wenyewe chini ya IKULU YA ZANZIBAR na Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na uchukuzi Zanzibar
Wana bajeti zao na kila kitu CHAO wenyewe Zanzibar PEKEE
 
utawala ni kutoka hukooo,wa bara na visiwani
 
Ifike wakati mkubari kuwa sisi ni nchi moja, hizo ndege Ni Mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukishasema hivyo tu wazanzibar wamo,sio TGFA Wala ATCL hao wasimamizi tu lakini ukweli upo palepale JMT ndio mmiliki.
Hizi ndege zinaporuka kwenye anga la Zanzibar utasema ziko nje ya nchi? Acheni utoto basi,.
 
πŸ˜πŸ‘
 
😍
 
Ndege zote tulizonunua kama Taifa ni Mali ya Wakala wa Serikali wa Usafiri wa Anga (Tanzania Government Flight Agency) na huu wakala ni mali ya Muungano. Hivyo, sheria iliyoanzisha TGFA hizo ndege siyo ATCL bali mali ya TGFA. Pia tusisahau kuna TAA na ZAA. Hizi ni mamlaka za viwanja vya ndege. TAA na ZAA siyo wamiliki wa ndege, bali wamiliki wa viwanja vya ndege.

Kwa Tafsiri nyingine ATCL ni mali ya muungano kama ambavyo TGFA ni mali ya muungano.
 
Ikulu ya Tanzania ni ya Muungano.

Tanzania Government Flight Agency (TGFA)
is one of the executive agencies of Tanzania. It provides VIP flight services to government officials.[1][2] The Tanzania Government Flight Agency supports and manages all Tanzanian government aircraft, which it leases to Air Tanzania Company Limited (ATCL).[3]
 
Zile tisa zilipokelewa Bara hizi mbili kuna dhambi gani zikapokelewa huko Visiwani?. Ndio maana ya Muungano ni kuvumiliana na kuishi pamoja ni sawa na ndoa kila mmoja anaweka pembeni yale majivuno na ukubwa wake ili lengo la pamoja liweze kutimizwa.
 
Usikute wanatatua kero ya muungano. Inawezekana kabisa ATCL au Wakala wa Ndege za Serikali ikawa tayari imeorodheshwa kuwa kero ya muungano na sasa ndege hizo mpya kupokelewa kwake Zanzibar ni njia ya kutatua kero hiyo! Usicheke.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…