Naomba kuelimishwa kuhusu hii ofisi yangu TRA wanataka niwe na leseni.

Naomba kuelimishwa kuhusu hii ofisi yangu TRA wanataka niwe na leseni.

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Wameahidi tar 1 watakuja kunifungia kama sitakata leseni ya biashara ambayo gharama yake ni 80

Na mm kwa sasa sina mpango was kukata leseni sababu sina huo uwezo kwa sasa kazi yangu ndo kama unavoiona hapo.
 
IMG20240719113621.jpg
IMG20240719132328.jpg
 
Ukweli mchungu wakienda kisheria watakushinda na utapigwa fain ……. Jaribu kutumia busara kuzungumza nao kibinadamu sema wew unaonekana ni mtu mwwny hasira za haraka just cool down take long breath then ongea nao taratibu utanishukiru badaye
 
nnachogopa mm ni kuhusu kula cha mtu tu mkuu au kuiba cha mtu kwani mm nimekula chao yaani wao wanataka pesa yangu siwapi kirahisi hivo wafunge tu biashara halafu nyundo zipo
Ukweli mchungu wakienda kisheria watakushinda na utapigwa fain ……. Jaribu kutumia busara kuzungumza nao kibinadamu sema wew unaonekana ni mtu mwwny hasira za haraka just cool down take long breath then ongea nao taratibu utanishukiru badaye
 
Wameahidi tar 1 watakuja kunifungia kama sitakata leseni ya biashara ambayo gharama yake ni 80

Na mm kwa sasa sina mpango was kukata leseni sababu sina huo uwezo kwa sasa kazi yangu ndo kama unavoiona hapo.
Wameahidi tar 1 watakuja kunifungia kama sitakata leseni ya biashara ambayo gharama yake ni 80

Na mm kwa sasa sina mpango was kukata leseni sababu sina huo uwezo kwa sasa kazi yangu ndo kama unavoiona hapo.
Kwanza labda nikusaidie kitu hapa. Tra wao hawahusiki na utoaji wa liseni hao watakuwa ofisi ya mfanyabiashara eneo lako. pili tra hawawezi kufunga biashara sababu taratibu zao hazipo hivo. nachokielewa ni kuwa halmashauri hawatakiwi kutoa liseni mpaka mtu aende tra akakadiriwe na kupewa cheti cha kutodaiwa kodi. sasa mara nyingi wanawatishia na kusema watu waende tra ndipo unapojikuta ni kama unatakiwa na tra kulipa liseni. kama unabisha nenda ofisi ya tra yoyote uwaulize watakuambia.na usije toa rushwa ndugu yangu itakuwa mchezo hao ni matapeli au afisa biashara. uwe unaomba kitambulisho siku nyingine.
 
Back
Top Bottom