Wananchi wengi ndio wenye laana!! Na mtatabika sanaaa!!mlala hoi unakamuliwa kodi, ya kumnunulia V8 Bashite
Nchi ina laana sana hii
Duuh Kwanini wewe sio Mtz.Wananchi wengi ndio wenye laana!! Na mtatabika sanaaa!!
Hahaaaa!! Mimi ni mtanzania ila ni miongoni mwa wale wachache tunaokula mema ya nchi, na tunaomba mbaki hivyo hivyo,Duuh Kwanini wewe sio Mtz.
Tupeane matrick kaka ππHahaaaa!! Mimi ni mtanzania ila ni miongoni mwa wale wachache tunaokula mema ya nchi, na tunaomba mbaki hivyo hivyo,
Si unaona Kenya vijana wamekinukisha, waliokuwa wanakula mema ya nchi tumbo joto!! HahaaaTupeane matrick kaka ππ
Kumbe upo Nairobi AseeSi unaona Kenya vijana wamekinukisha, waliokuwa wanakula mema ya nchi tumbo joto!! Hahaaa