Naomba kuelimishwa kuhusu Podcast, ni kitu gani? inafanyaje kazi?

Naomba kuelimishwa kuhusu Podcast, ni kitu gani? inafanyaje kazi?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Naomba kufahamishwa kuhusu hii kitu ndugu zanguni. Inafanyaje kazi. App sijui website zake ni zipi na mtu anawezaje kuimonetize. Natanguliza shukrani.
 
Yaani ugonjwa wangu.

Podcast ni App ambayo inakufanya wewe mtumia simu au kifaa chochote cha kielectronic kuweza kusikiliza simulizi au vipindi mbalimbali ambavyo umevifollow au unavipenda.

Mfano kwenye iPhone iyo App unaikuta automatically ila Android una download, mfano Google Podcast, ila pia App za Spotify zinasupport podcast.

Kwahiyo wewe uta search topic unazopenda. Mfano unapenda mambo ya Horror Story, au Crimes au Serial Killers, Mapishi, Michezo etc.

Unakua unasikiliza na mostly zinakua kwa episodes na zinatoka weekly au ata kwa week mara mbili.

Watu wengi wanasikiliza wakati wa mazoezi, kusoma, meditation, au kulala.

Jaribu, ukianza hautaacha.
 
Shukrani. Hizo app kama google podcast unaweza kuitumia hiyo kuupload kazi yako. Na wanaoandaa wanapataje pesa?
 
Shukrani. Hizo app kama google podcast unaweza kuitumia hiyo kuupload kazi yako. Na wanaoandaa wanapataje pesa?
Wewe kuanzisha Podcast unaweza pia. Kuna website ambazo watakusaidia.

Inakua kama YouTube through hiyo website na Streaming App ndio utakua unapata hela kutokana na idadi ya wasikilizaji.

Pia matangazo sponsors bila kusahau.

Kwa Tanzania nadhani Salama Jabir ndio anafanya vizuri ingawa mi maudhui yake sio fan ila naona uwa namuona kwenye recommended.

Inaweza kuja kua deal baadae unaweza anza mdogo mdogo.
 
Wewe kuanzisha Podcast unaweza pia. Kuna website ambazo watakusaidia.

Inakua kama YouTube through hiyo website na Streaming App ndio utakua unapata hela kutokana na idadi ya wasikilizaji.

Pia matangazo sponsors bila kusahau.

Kwa Tanzania nadhani Salama Jabir ndio anafanya vizuri ingawa mi maudhui yake sio fan ila naona uwa namuona kwenye recommended.

Inaweza kuja kua deal baadae unaweza anza mdogo mdogo.
Mkuu ongeza nondo za ziada kidogo😁. Kwa apple huwa namuona Joel Nanauka
 
Yaani ugonjwa wangu.

Podcast ni App ambayo inakufanya wewe mtumia simu au kifaa chochote cha kielectronic kuweza kusikiliza simulizi au vipindi mbalimbali ambavyo umevifollow au unavipenda.

Mfano kwenye iPhone iyo App unaikuta automatically ila Android una download, mfano Google Podcast, ila pia App za Spotify zinasupport podcast.

Kwahiyo wewe uta search topic unazopenda. Mfano unapenda mambo ya Horror Story, au Crimes au Serial Killers, Mapishi, Michezo etc.

Unakua unasikiliza na mostly zinakua kwa episodes na zinatoka weekly au ata kwa week mara mbili.

Watu wengi wanasikiliza wakati wa mazoezi, kusoma, meditation, au kulala.

Jaribu, ukianza hautaacha.
mkuu hizo huduma unapata kwa kulipia?
 
Podcast ni simply matangazo au habari iliyohifadhiwa kwa matumizi ya baadaye kwa kila mtu,
Vilianza vyombo vikubwa vya habari kutumia mtindo huu , Bbc podcast kwa mfano , inakupa fursa ya kusikiliza vipindi vyao vilivyopita na ku download kwa ajili ya matumizi yako ya baadaye , mara nyingi katika mfumo wa mp3. Siku hizi watu wamejiongeza, podcasts ina wadau binafsi wengi ambao wana contents zenye ladha tofauti tofauti kwa ajili ya jamiii.hii ndio inefanya kwa sasa podcasts kuwa katika mlengo wa kimaoato pia maana wako wadau wanauza idea zao . Ndio sabababu siku hizi kuna programs kwa ajili ya podcast kama hizo google podcasts,

Kiufupi podcasts ni kama matangazo ya redio , katika mpangilio na muda unaotaka kusililiza
 
Asee mkuu ebu naomba unisaidie ule uzi wako wa kile kitabu cha Mtu tajiri wa Babylon
 
kuna salamana,phonecall by fourty,yesaya software hizi ndio podcast ninazosikiliza kwa bongo,kwenye kupiga hela sasa ndio sijajua wanapigaje mpunga kupitia podcast....nahisi kwa sasa watumiaji sio wengi ila baadae wataongezeka siunajua tena wabongo kwa ulimbukeni.
 
Back
Top Bottom