FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #21
Bado nasubiri kuambiwa jina la mlamba asali ya ‘fuel marking’Ukijibiwa nipe namba nikujazie buku kumi!
Kama kiasi kinacholipwa kwa ajili ya hiyo fuel marking ni kikubwa basi kilitakiwa kiondolewe.
Mafuta yenyewe yanaagizwa kwa pamoja, yakiingia bandarini ina maana wanayaona na kutoza kodi Kuna haja ya kuyawekea alama wakati yanapoingilia panajulikana? Tuelimishane jamani
Kwakweli tuambiwe tu, nani anakula kodi hii ya ‘fuel marking’? Nani analamba asali hapo?!Ni kweli mkuu, Tanzania tunautaratibu wa kuagiza mafuta kwa pamoja, lakini hili halimaanishi hayo ndiyo mafuta pekee yanayoingia Tanzania. Mipaka halali na isiyo halali nayo hutumika kuingiza mafuta na wahujumu uchumi kinyume na utaratibu.
NB: Namimi naunga mkono zoezi la kumsaka mlamba asali.
Hatukatai kwamba wasilambe asali, maana hata Makamba amekiri kwamba wanalamba asali, shida ni kubugia, shida inaanzia hap
Ipo kampuni imepewa tenda fuatiliaNani anabugia asali ya ‘fuel marking’? Au hii kodi inaenda serikalini?
Kwahiyo kuna kampuni inachukua kodi zetu kiulaini kabisa?! Kwanini TBS wenyewe wasifanye hiyo ‘fuel marking’ ili hiyo kodixiende kuboresha miundo mbini za elimu na afya? Nani kapewa huo mzinga wa asali hapo?!Ipo kampuni imepewa tenda fuatilia