Naomba kufahamishishwa kuhusu ajali iliyohusisha magari yanayoenda Songea

Naomba kufahamishishwa kuhusu ajali iliyohusisha magari yanayoenda Songea

mwakavuta

Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
99
Reaction score
306
Wakuu salam,

Nimepata ujumbe wa SMS kutoka kwa namba ya ndugu yangu unaoonyesha kuwa amepata ajali akielekea songea, nimejaribu kupiga simu haipokelewi lakini ujumbe wa SMS umetaja jina lake na ni kweli alikuwa anasafiri kwenda songea jumamosi ya tarehe 26/6/2021.

Naomba kupata taarifa zaidi kama kuna ajali yoyote imetokea kwa magari yanayoenda Songea.

Asanteni sana.
 
Yaani almost mwezi mmoja uliopita? Umejaribu kuwasiliana na ndugu wengine?
 
nilikosea kuandika mkuu ni mwezi huu
Duh pole sana umeshasaidika? Kama bado ngoja nikupe no za kamanda wa huko
ARUSHA 0715 009 912
MWANZA 0715 009 949
KIGOMA 0715 009 915
RUKWA 0715 009 954
KAGERA 0715 009 916
ILALA 0715 009 980
KATAVI 0715 009 957
MOROGORO 0715 009 946
DODOMA 0715 009 914
MBEYA 0715 009 931
KILIMANJARO 0715 009 923
PWANI 0715 009 953
MTWARA 0715 00 99 48
SHINYANGA 0767 508 090
MANYARA 0715 009 929
NJOMBE 0658 376 495
MARA 0715 009 930
SIMIYU 0658 37 64 81
TANGA 0715 009 963
LINDI 0715 009 927
SINGIDA 0715 009 959
RUVUMA 0715 009 956
TARIME RORYA 0715 009 964
GEITA 0658 376 488
TEMEKE 0715 009 979
KINONDONI O715 009 976
TABORA 0715 009 961
IRINGA
Chagua itakayokufaa
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Huyo ni mpumbavu! Na atakufa kweli
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Aiseeee[emoji23]
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mungu wangu[emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Du! Hii nyingine.

Ni maisha na tafsiri zake.
 
Duh pole sana umeshasaidika? Kama bado ngoja nikupe no za kamanda wa huko
ARUSHA 0715 009 912
MWANZA 0715 009 949
KIGOMA 0715 009 915
RUKWA 0715 009 954
KAGERA 0715 009 916
ILALA 0715 009 980
KATAVI 0715 009 957
MOROGORO 0715 009 946
DODOMA 0715 009 914
MBEYA 0715 009 931
KILIMANJARO 0715 009 923
PWANI 0715 009 953
MTWARA 0715 00 99 48
SHINYANGA 0767 508 090
MANYARA 0715 009 929
NJOMBE 0658 376 495
MARA 0715 009 930
SIMIYU 0658 37 64 81
TANGA 0715 009 963
LINDI 0715 009 927
SINGIDA 0715 009 959
RUVUMA 0715 009 956
TARIME RORYA 0715 009 964
GEITA 0658 376 488
TEMEKE 0715 009 979
KINONDONI O715 009 976
TABORA 0715 009 961
IRINGA
Chagua itakayokufaa
Duh pole sana umeshasaidika? Kama bado ngoja nikupe no za kamanda wa huko
ARUSHA 0715 009 912
MWANZA 0715 009 949
KIGOMA 0715 009 915
RUKWA 0715 009 954
KAGERA 0715 009 916
ILALA 0715 009 980
KATAVI 0715 009 957
MOROGORO 0715 009 946
DODOMA 0715 009 914
MBEYA 0715 009 931
KILIMANJARO 0715 009 923
PWANI 0715 009 953
MTWARA 0715 00 99 48
SHINYANGA 0767 508 090
MANYARA 0715 009 929
NJOMBE 0658 376 495
MARA 0715 009 930
SIMIYU 0658 37 64 81
TANGA 0715 009 963
LINDI 0715 009 927
SINGIDA 0715 009 959
RUVUMA 0715 009 956
TARIME RORYA 0715 009 964
GEITA 0658 376 488
TEMEKE 0715 009 979
KINONDONI O715 009 976
TABORA 0715 009 961
IRINGA
Chagua itakayokufaa
Daa!! Hongera sana Mkuu.
 
MREJESHO,
wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia,
Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mmmmmmmhh
 
Ila huyo jamaa ni mjinga sana si angekimbia tuu sasa ameamua kuwafedhehesha wenzake
 
MREJESHO,
wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia,
Asanteni sana kwa msaada wenu.
Nimesoma huu mrejesho Mpaka nimecheka, Hapa nazidi kuamini Kua Kuna wa Tz waajabu haijawahi tokea hata zile takwimu za wagonjwa wa akili nikweli...
 
Back
Top Bottom