Naomba kufahamishishwa kuhusu ajali iliyohusisha magari yanayoenda Songea

Naomba kufahamishishwa kuhusu ajali iliyohusisha magari yanayoenda Songea

MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mkuu hii thread nilifatilia sana ila mrejesho wake leo nimecheka sana,,, Kwaiy jamaa yupo songea anakula life tu au yupo mkoa gani
 
Mkuu hii thread nilifatilia sana ila mrejesho wake leo nimecheka sana,,, Kwaiy jamaa yupo songea anakula life tu au yupo mkoa gani
Haeleweki sana hakwenda songea, ni kama yupo mikoa ya kanda ya kati
 
Baadaye unaambiwa amefufuka,kumbe hakufa wala nini
 
Kumbe hata awamu ya sita bado vyuma vigumu kwa wengi?nilifikiri ni kwangu.
 
MREJESHO

Wakuu, nashukuru kwa ushirikiano wenu. Naweza kusema nimepata ndugu mjinga kuliko maelezo kumbe jamaa aliamua kufake kifo mwenyewe hakupata ajali wala nini. Alituma sms za ajali mwenyewe kukwepa majukumu ya familia yupo mkoa anaendelea na maisha ingawa amekata mawasiliano na familia.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Kakimbia mke na watoto sio ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom