Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Mwenzio saa 8 kilimponza hiki hiki
Ukweli wa Mambo Kile kiingereza Cha kwa Museven kimenifanya ni hoji Sana inamaana alitaka tujue Yuko vzuri ktk lugha ili kuwaprove wrong wale ambao wanamashaka na elimu yake au alikuwa anaendeleza kufuta legacy ya kwenda zake ila pia nimegundua ni ngeli fulan hivi ya English cos Kama ya shishi baby.

Swali langu tunaomba tupate mtirirko mzuri wa kiwango chake Cha elimu.
 
Kuhsu spika hata sitaki kujua.watani zangu wagogo hata mtu akisoma vp huwa ni shida tu mfano profesa Majalala
Elimu ya kujua mema na mabaya.
MaPhD na Madegree mengi wanayo wasaidizi wake.
Kwa ujumla elimu ya Rais ni kubwa (Urais sio personal,Urais ni Taasisi kubwa /The Executive pillar).
Umekwisha wahi kuuliza elimu ya Mh. Spika?k
 
Elimu ya Samia aelezea Mwenyewe
 
Manchester university elimu yao ni ya mashaka eti? Mzumbe je, nao elimu yao ni ya mashaka.
Kama mzumbe elimu yao ni ya mashaka basi TEKU elimu yao ipo juu, akasome kidogo teku eti?
Inaonesha unayo CV yake tunaomba tuletee hapa kwa ufasaha ili tunufaike.
 
Ombi tupeni CV kamili ili tujiridhishe maana inaonekana Kuna utata ktk Hil😵mbi naomba tujulishwe alipopitia mpaka hyo masters.
Utata gani tena jamani?
Si tumekubaliana kuwa ilisomwa tena Mara nyingi tu!kwanini nyie hamkufwatilia habari?
 
Elimu ya kujua mema na mabaya.
MaPhD na Madegree mengi wanayo wasaidizi wake.
Kwa ujumla elimu ya Rais ni kubwa (Urais sio personal,Urais ni Taasisi kubwa /The Executive pillar).
Umekwisha wahi kuuliza elimu ya Mh. Spika?
Nadhani ameuliza kuhusu kiwango Cha elimu ile ya darasani
 
Nimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Yani wewe member wa JF usiokuwa na mbele wala nyuma unamashaka na elimu ya SSH raisi wa nchi?
Huna elimu ya kumpima SS kwa vyeo alivyopitia achana na vyuo alivyopita.Huna huo uwezo.
 
Yani wewe member wa JF usiokuwa na mbele wala nyuma unamashaka na elimu ya SSH raisi wa nchi?
Huna elimu ya kumpima SS kwa vyeo alivyopitia achana na vyuo alivyopita.Huna huo uwezo.
Jamani mbona tunatishana tena situmekubaliana kuwa Sasa hivi ni Uhuru wa kuongea jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…