Kifungu cha ngapi kwenye Katiba, Ibara ya ngapi?Kwa mujibu wa katiba Rais hapaswi kuwa na elimu chini ya degree lakini Mama hana degree![emoji124][emoji124][emoji124]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifungu cha ngapi kwenye Katiba, Ibara ya ngapi?Kwa mujibu wa katiba Rais hapaswi kuwa na elimu chini ya degree lakini Mama hana degree![emoji124][emoji124][emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Soma angalizo nililoweka. Anastahili majibu ya town town[emoji1787]
mimi inachonichosha elimu ni kitu kimoja tu, yeye asiye na elimu kama wewe ni raisi wa nchi sasa na taifa lote linamsikiliza yeye, mkiwemo na nyie, wakati huo huo nyie mko humu saa hizi hoooi bin taaaban mkihangaika huku ye akiwa hajui tu na wala hahitaji kujua (sababu hamna impact yoyote) kama kuna mtu au watu wanaongea......Inaonesha unayo CV yake tunaomba tuletee hapa kwa ufasaha ili tunufaike.
Karume snr degree alikua hana na alikua raisKuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.
Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.
Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
Halafu kwa jamii ya Kizanzibar jinsi ilivyo, kwa hiyo elimu Samia kajitahidi sana.Karume snr degree alikua hana na alikua rais
Sembuse ssh
Ana advance diploma ya public adminstration ya mzumbe wakati huo ilikuwa ni chuo sio chuo kikuuKwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.
Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.
Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Nyerere hakuwai kuwa na degree, soma historia yake. Pia katiba ya Sasa sidhani Kama imetamka elimu ya rais. Katiba pendekezwa ndio Ina hicho kigezoKikwete alikuepo na Degree moja ya uchumi kilimo . Na yenyewe ilikuepo alipata gentlemen degree yenye matokeo ya chini kabisa. Hizo zote Kikwete alitunukiwa tuu na wazungu asilimia kubwa. Nyerere degree ya ualimu Makelele university na Magufuli ana PhD ya chemistry, MSc chemistry na BSc education chemistry and mathematics
Wewe unademka😅😅Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.
Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.
Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Alisoma mzumbe advanced Diploma. Alisoma Masters kwa equivalent qualification.😂😂😂😂😂Hapo ndipo ninakupenda kwa kupiga mule mule bila kukwepesha. Masters ya kuunga unga!!! Mh! Unapataje Masters kabla ya kuwa na Degree!? Itakuwa ni Masters ya mtandaoni hii miezi tisa unabeba cheti chako. Kama Masters ya Magufuli ailiyofanya “nje” huku akiwa Waziri na huko nje hakuwahi kwenda kuifanyia kazi Masters yake.
Degree ya pili. Ila ya kwanza hana.Kwani Masters siyo degree dada?
Hiyo ni degree ni kwa mujibu wa katiba au maoni yako?
Na mwenye elimu ndogo zaidi?
Julis & Benja hapo kwa mkwere piga chini mmmmmbruuuuuu hamna kituYule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
Yaani serikali ishindwe kuona hizo dalili uje kuona wewe?Nimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Wasifu wake wewe uliusoma wapi??
Mbona TBC wamesoma Sana wasifu wake kile kipindi anaapishwa..kwanini hukusikiliza?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ana degree.Huyo jamaa ni wale MATAGA wasumbufu!