Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Naomba kufahamishwa kiwango cha elimu ya Rais Samia Suluhu Hassan

Inaonesha unayo CV yake tunaomba tuletee hapa kwa ufasaha ili tunufaike.
mimi inachonichosha elimu ni kitu kimoja tu, yeye asiye na elimu kama wewe ni raisi wa nchi sasa na taifa lote linamsikiliza yeye, mkiwemo na nyie, wakati huo huo nyie mko humu saa hizi hoooi bin taaaban mkihangaika huku ye akiwa hajui tu na wala hahitaji kujua (sababu hamna impact yoyote) kama kuna mtu au watu wanaongea......
 
Kuwa Rais wa Tanzania siyo lazima uwe na Degree.

Degree ni upumbavu mwingine usio na maana yoyote.

Note: Sijasema anayo au hana: Ila degree karne hii ya 21 siyo issue. Dunia iko kwenye SKILLS na PERFORMANCE.
Karume snr degree alikua hana na alikua rais
Sembuse ssh
 
Mtu mwenye degree akiongea huonekana tu... Elimu hua haijifichi.
 
Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.

Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.

Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Ana advance diploma ya public adminstration ya mzumbe wakati huo ilikuwa ni chuo sio chuo kikuu
 
Kikwete alikuepo na Degree moja ya uchumi kilimo . Na yenyewe ilikuepo alipata gentlemen degree yenye matokeo ya chini kabisa. Hizo zote Kikwete alitunukiwa tuu na wazungu asilimia kubwa. Nyerere degree ya ualimu Makelele university na Magufuli ana PhD ya chemistry, MSc chemistry na BSc education chemistry and mathematics
Nyerere hakuwai kuwa na degree, soma historia yake. Pia katiba ya Sasa sidhani Kama imetamka elimu ya rais. Katiba pendekezwa ndio Ina hicho kigezo
 
Kwa wajuzi naomba kujua kiwango cha elimu Cha Rais wetu wa sasa mama Samia Suluhu Hassan na pia kujua viwango vya elimu vya Marais watano waliopita na siyo vibaya tukaujua ni Rais yupi alikuwa na elimu kubwa zaidi na Rais yupi alikuwa na elimu ndogo. Lengo ni kufahamu wasifu na historia za viongozi wetu wakuu wa nchi.

Lakini pia naomba kujuzwa katika Katiba kuna kipengele kinachozungumzia suala la kiwango cha elimu anachopaswa kuwa nacho Rais wa nchi au halijatajwa hilo.

Je, kiwango cha elimu kina athari gani kwa uongozi mkubwa kabisa katika nchi? Hili ningependa nijulishwe na wabobezi wa siasa.
Wewe unademka😅😅
 
😂😂😂😂😂Hapo ndipo ninakupenda kwa kupiga mule mule bila kukwepesha. Masters ya kuunga unga!!! Mh! Unapataje Masters kabla ya kuwa na Degree!? Itakuwa ni Masters ya mtandaoni hii miezi tisa unabeba cheti chako. Kama Masters ya Magufuli ailiyofanya “nje” huku akiwa Waziri na huko nje hakuwahi kwenda kuifanyia kazi Masters yake.
Alisoma mzumbe advanced Diploma. Alisoma Masters kwa equivalent qualification.
 
Yule jamaa sijui alipataje PhD? Kwangu mimi bila kujali kiwango cha elimu, marais vichwa walikuwa ni Julius, Benjamin na Jakaya!
Julis & Benja hapo kwa mkwere piga chini mmmmmbruuuuuu hamna kitu
 
Nimeanza kupata mashaka na elimu yake mkuu sababu Kuna dalili mbaya nyingi kuwa huenda kiwango chake hakiridhishi
Yaani serikali ishindwe kuona hizo dalili uje kuona wewe?

Kitendo cha wewe kushindwa kujua elimu ya kiongozi mkubwa tayari uwezo wako wa kufikiri na elimu yako vinatia shaka.

Hizi dalili ilibidi uzinotice kwako mwenyewe kabla ya kwenda kwa kiongozi na mtu mkubwa africa.
 
Inabidi akomae kweli. Tanzania ya wasomi na wajuaji kibao. Mambo ya vidole juu siyo sasa
 
Back
Top Bottom