Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mnyapaa😁Hahaaa Nilikua nawaona vijana wakichakaa na mtukuru pale igiguno [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahyo mwanamke akawa anamlelea [emoji16]Ukifika singida kama wee ni mwanaume hakikisha unafunga zipu ya suruali yako vizuri, usihangaike na wanawake, kwani kwa madawa ya kukufilisi kwa ngono wako vizuri mno.. jamaa alitoka Nairobi kununua vitunguu ilibidi ndugu zake wakamtafute. Alihamia kwa mwanamke hana tena mtaji. Siyo mchezo.
[emoji28][emoji28] kwani wewe umeacha kuzichakata..naona baada ya kutoka bariadi sasa unataka ukaweke kambi singida...ua zichakate kwa ukaribu zaidi mbususu za singidani.[emoji16][emoji16] mambo yako hayo
Pambana Uwe Raisi uje ufanye Maamuzi hayoNimesafiri hivi karibuni kupitia dodoma na singida.....aisee dodoma ni pa hovyo sana kupafanya makao makuu kulinganisha na singida, hususan kwenye hali ya hewa na location singida ilipo dhidi ya Dodoma, nafikiri wanaoyajua hayo maeneo wataniunga mkono.
Serikali ibadilishe haraka maamuzi ipaendeleze singida pawe makao makuu ya nchi.
Nikifika huko nitakupa ripoti [emoji16][emoji28][emoji28] kwani wewe umeacha kuzichakata..naona baada ya kutoka bariadi sasa unataka ukaweke kambi singida...ua zichakate kwa ukaribu zaidi mbususu za singidani.
Ukifika huko usiache kuleta mrejesho.
#MaendeleoHayanaChama